Je ni rahisi kupatikana kiongozi bora kwenye jamii sio kuwa na maadili na uwadilifu?

Je ni rahisi kupatikana kiongozi bora kwenye jamii sio kuwa na maadili na uwadilifu?

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Habari wanajamiii forum, !
Kwa utamaduni wa inchi yetu, ya Tanzania ukipewa nafasi ya kutaja viongozi bora bila kujali itikadi na dini, ni kazi ngumu sana
kuwapata afadhili ukachukue jembe ukalime, kwa sbb what mifumo ya sheria na utamaduni zetu za usinichi,
Ila utawakuta wenye uwafadhali kidogo . Wafuatao ni viongozi vijana wenye uwafadhali kidogo
1.David KAFULILA
2.Tundu lisu
3.John Mnyika
4. Rizwani kikwete
5.Godbless Lema
6.Tulia Mwansansu
7.Bonifasi Mwabukusi
8.Heche
9.Jokate
10.Ester bulaya.
11.wenje
12. Paul makonda
NB: Inchi yetu ya Tanzania viongozi wazuri wapo ,ila wakiingia tu kwenye mifumo ya kutumikia jamii, wanakuwacorrupted na mifumo WALIO ikuta pale ,usishangae mtu alikuwa vzr tu ghfla amebadilika, au amerudi nyuma. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Habari wanajamiii forum, !
Kwa utamaduni wa inchi yetu, ya Tanzania ukipewa nafasi ya kutaja viongozi bora bila kujali itikadi na dini, ni kazi ngumu sana
kuwapata afadhili ukachukue jembe ukalime, kwa sbb what mifumo ya sheria na utamaduni zetu za usinichi,
Ila utawakuta wenye uwafadhali kidogo . Wafuatao ni viongozi vijana wenye uwafadhali kidogo
1.David KAFULILA
2.Tundu lisu
3.John Mnyika
4. Rizwani kikwete
5.Godbless Lema
6.Tulia Mwansansu
7.Bonifasi Mwabukusi
8.Heche
9.Jokate
10.Ester bulaya.
11.wenje
12. Paul makonda
NB: Inchi yetu ya Tanzania viongozi wazuri wapo ,ila wakiingia tu kwenye mifumo ya kutumikia jamii, wanakuwacorrupted na mifumo WALIO ikuta pale ,usishangae mtu alikuwa vzr tu ghfla amebadilika, au amerudi nyuma. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Hamna mwana siasa Tanzania upande wa upizani asio nunulika, sahau wewe jikite kwenye masuala ya familia yako.
 
As
Hamna mwana siasa Tanzania upande wa upizani asio nunulika, sahau wewe jikite kwenye masuala ya familia yako.
Asante kwa ushauli wako mkuu
 
Africa kusini ni nchi mmoja nzuri sana kwenye suala la utawala bora. Huku kila mtu anaijua sheria na kila mtu anafahamu mipaka yake huwezi kukuta ujinga ujinga kama ulioko bongo ambao polisi mdogo hata asiye na cheo hujiona yeye ni mkubwa na anaweza kufanya chochote.

Ngoja nikupe mfano. Kuna jamaa alikuwa ana apply kitu flani police ya huku. Mhusika hakuwa responsible na fomu jamaa aliyoijaza, sasa ikapita siku kadhaa jamaa akaona hakuna response kwenye maombi aliyoyafanya akakuta kulikuwa na uzembe. Aise yule aliyekuwa responsible na hiyo kazi ilibidi aombe radhi maana cha kwanza kazi alikuwa hana, chapili ni kizimbani kwa uzembe.

Na polisi kupitia kitengo chake wangemlipa fidia jamaa kwa uzembe huo maana jambo lake lilikuwa sensitive Sana.

Kuna msemo mmoja huku watu hupenda kuzungumza " don't talk to me talk to my lawyer "
 
Africa kusini ni nchi mmoja nzuri sana kwenye suala la utawala bora. Huku kila mtu anaijua sheria na kila mtu anafahamu mipaka yake huwezi kukuta ujinga ujinga kama ulioko bongo ambao polisi mdogo hata asiye na cheo hujiona yeye ni mkubwa na anaweza kufanya chochote.

Ngoja nikupe mfano. Kuna jamaa alikuwa ana apply kitu flani police ya huku. Mhusika hakuwa responsible na fomu jamaa aliyoijaza, sasa ikapita siku kadhaa jamaa akaona hakuna response kwenye maombi aliyoyafanya akakuta kulikuwa na uzembe. Aise yule aliyekuwa responsible na hiyo kazi ilibidi aombe radhi maana cha kwanza kazi alikuwa hana, chapili ni kizimbani kwa uzembe.

Na polisi kupitia kitengo chake wangemlipa fidia jamaa kwa uzembe huo maana jambo lake lilikuwa sensitive Sana.

Kuna msemo mmoja huku watu hupenda kuzungumza " don't talk to me talk to my lawyer "
Elimu elimu ya kujitambua hamna mkuu, ndio maana ccm wanawatala watanzania kirahisi sana kwa sbb ya elimu mbovu sana
 
Africa kusini ni nchi mmoja nzuri sana kwenye suala la utawala bora. Huku kila mtu anaijua sheria na kila mtu anafahamu mipaka yake huwezi kukuta ujinga ujinga kama ulioko bongo ambao polisi mdogo hata asiye na cheo hujiona yeye ni mkubwa na anaweza kufanya chochote.

Ngoja nikupe mfano. Kuna jamaa alikuwa ana apply kitu flani police ya huku. Mhusika hakuwa responsible na fomu jamaa aliyoijaza, sasa ikapita siku kadhaa jamaa akaona hakuna response kwenye maombi aliyoyafanya akakuta kulikuwa na uzembe. Aise yule aliyekuwa responsible na hiyo kazi ilibidi aombe radhi maana cha kwanza kazi alikuwa hana, chapili ni kizimbani kwa uzembe.

Na polisi kupitia kitengo chake wangemlipa fidia jamaa kwa uzembe huo maana jambo lake lilikuwa sensitive Sana.

Kuna msemo mmoja huku watu hupenda kuzungumza " don't talk to me talk to my lawyer "
Tanzania BAdo sana
 
Back
Top Bottom