Je ni sababu zipi zinazopelekea Pascal Mayalla hapati teuzi yoyote mpaka sasa?

Je ni sababu zipi zinazopelekea Pascal Mayalla hapati teuzi yoyote mpaka sasa?

Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.


Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Wakati wake bado
 
Mwenzio anataka uteuzi ndo maana alipobaniwa na TISS alikasirika Sana.
Huenda ni hivyo ulivyodhania lkn pia huenda alikuwa na nyeti kwa mama. Pole yao TISS kwa kumkosesha mama dondoo muhimu kutoka kwa Pascal. Nikukumbushe tu kwamba Pascal huyu ni mwana wa nyoka. Si unaukumbuka ule usemi wa Kiswahili?
 
Huenda ni hivyo ulivyodhania lkn pia huenda alikuwa na nyeti kwa mama. Pole yao TISS kwa kumkosesha mama dondoo muhimu kutoka kwa Pascal. Nikukumbushe tu kwamba Pascal huyu ni mwana wa nyoka. Si unaukumbuka ule usemi wa Kiswahili?
Au Karma inamtafuna ya kuwachoma watu
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.


Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Not chawa enough 😂😂
 
Back
Top Bottom