Je ni sababu zipi zinazopelekea Pascal Mayalla hapati teuzi yoyote mpaka sasa?

Je ni sababu zipi zinazopelekea Pascal Mayalla hapati teuzi yoyote mpaka sasa?

Icho kijamaa kinachoitwa Pascal kina chuki sana dhidi ya Zanzibar na raisi aliyeko sasa Madarakani ni Mzanzibari kwaio astahamili mpaka muhula wa mama utakapoisha asikate tamaa. Hongera zake aliyembania icho ki paskal kuonana na Mhe Rais
 
Huwa siyo muumini wa
1737289941869.png
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.

Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Alishalotolea ufafanuzi hili tena nashani ni last year hapa JF
 
Icho kijamaa kinachoitwa Pascal kina chuki sana dhidi ya Zanzibar na raisi aliyeko sasa Madarakani ni Mzanzibari kwaio astahamili mpaka muhula wa mama utakapoisha asikate tamaa. Hongera zake aliyembania icho ki paskal kuonana na Mhe Rais
Napingana na Pascal kwenye mengi lakini kamwe siwezi kumuita hicho kijamaa.. Kuheshimiana ni jambo bora licha ya tofauti za kimitazamo
 
Siku akivaa shati yenye picha ya mama SH atapata teuzi
 
Wakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?

Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.

Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Aamue mojawapo kati ya kung'ata ama kupuliza
 
Icho kijamaa kinachoitwa Pascal kina chuki sana dhidi ya Zanzibar na raisi aliyeko sasa Madarakani ni Mzanzibari kwaio astahamili mpaka muhula wa mama utakapoisha asikate tamaa. Hongera zake aliyembania icho ki paskal kuonana na Mhe Rais
dharau hazikupeleki popote ndugu
 
Back
Top Bottom