Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanakabia juu sanaKwani wewe mtoa mada umepata uteuzi gani hapo ulipo? Je, maisha yake hayawezi kwenda bila ya uteuzi? Je, ameshawahi kulalamika hadharani kunyimwa huo uteuzi?
Hizo hoja Zina ukweliKuna sababu 2 tu:-
1. Pascal Mayalla ana damu ya chadema.
2. Pascal Mayalla ana akili, na ccm haitaki wenye akili.
Usinigombanishe si jasema ni mshambaKwahiyo ni mshamba tu
Kumbee muogaUsinigombanishe si jasema ni mshamba
Sasa swala uoga linatoka wapi?Kumbee muoga
Alishalotolea ufafanuzi hili tena nashani ni last year hapa JFWakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?
Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.
Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
Napingana na Pascal kwenye mengi lakini kamwe siwezi kumuita hicho kijamaa.. Kuheshimiana ni jambo bora licha ya tofauti za kimitazamoIcho kijamaa kinachoitwa Pascal kina chuki sana dhidi ya Zanzibar na raisi aliyeko sasa Madarakani ni Mzanzibari kwaio astahamili mpaka muhula wa mama utakapoisha asikate tamaa. Hongera zake aliyembania icho ki paskal kuonana na Mhe Rais
haaa jaman nimecheka sanaAnakuwa kazini huku anatambulishwa kama "muheshimiwa DC mstaafu"!
Acha kumdhalilisha huyu MzeeUyo mzee anapenda Sana chini km engonga hakawii kuharibu kwenye maofs🤣🤣🤣
Aamue mojawapo kati ya kung'ata ama kupulizaWakuu , je ni sababu zipi zinapelekea Pascal Mayalla kukosa uteuzi wowote mpaka sasa ?
Mara ya mwisho nilikuwa na Pascal Mayalla Mbeya akawa ananambia kuwa watu Fulani walimbania asionane na Rais.
Ikiwa ni kweli , basi hii inafikirisha na muda sio mrefu anenda kuingia ghorofa ya 60 bila kupata uteuzi wowote , inafikirisha na kuumiza.
dharau hazikupeleki popote nduguIcho kijamaa kinachoitwa Pascal kina chuki sana dhidi ya Zanzibar na raisi aliyeko sasa Madarakani ni Mzanzibari kwaio astahamili mpaka muhula wa mama utakapoisha asikate tamaa. Hongera zake aliyembania icho ki paskal kuonana na Mhe Rais