Je, ni sahihi baba mwenye nyumba naye kupangiwa zamu ya kupika na kuosha vyombo?

Je, ni sahihi baba mwenye nyumba naye kupangiwa zamu ya kupika na kuosha vyombo?

Wanawake wanahitaji akili kidogo tu ili kwenda nao sawa, naweza chukua nguo chafu kwenye đź—‘ asubuhi sana, akiamka anakuta kamba imejaa nguo, she feels so good akiona hivyo, au nikambwambia tu mama lete nguo tufue....

Wanaume wasichopenda ni kupangiwa, hapo kweli hatupendi.
Yaani hiyo asubuhi utayofua nitakupikia chapati za kurasa ,maini roast ,na sharubati ya tende.. ..msiwe mnajisahau Sana ndio maana Hadi tunaanza kuwapangia.
 
Hayo ni makubaliano ya Mme na Mke!
Lakini katika mazingira ya kawaida Mwanamme hapangiwi ratiba!
 
Ni sawa kusaidia huwa tunasaidia pale inapobidi lakini isiwe mazoea au ni lazima mana wanawake wana ujinga fulani wa kuweka mazoea ionekane kuwa ni lazima ufanye hizo kazi.
 
Back
Top Bottom