Je, ni sahihi baba mwenye nyumba naye kupangiwa zamu ya kupika na kuosha vyombo?

Yaani hiyo asubuhi utayofua nitakupikia chapati za kurasa ,maini roast ,na sharubati ya tende.. ..msiwe mnajisahau Sana ndio maana Hadi tunaanza kuwapangia.
 
Hayo ni makubaliano ya Mme na Mke!
Lakini katika mazingira ya kawaida Mwanamme hapangiwi ratiba!
 
Ni sawa kusaidia huwa tunasaidia pale inapobidi lakini isiwe mazoea au ni lazima mana wanawake wana ujinga fulani wa kuweka mazoea ionekane kuwa ni lazima ufanye hizo kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…