Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yaani kisa SERIKALI imetamka basi Bank inakua na mamlaka ya kuingia na kuchukua pesa kwenye account za Wateja Wake? Inawezekana vipi?
Sijawahi kuwa na mkataba na bank wa kunikata Tozo, je sheria inasemaje?
Sijawahi kuwa na mkataba na bank wa kunikata Tozo, je sheria inasemaje?