Majuzi kijana huyu nguri katika tasnia ya muziki wa kisasa Diamond alionekana kwenye vyombo vya habari akitumbuiza (Kutoa elimu kwa wana jamii) katika kampeni ya elimu ya UKIMWI ya TUPO WANGAP?. Kwa upande mmoja inaweza kutetewa kuwa kwa sasa ni mmoja wa watu wenye nyota ya kuweza kukusanya umati mkubwa wa watu. Lakini tukienda kwenye uadilifu, je, kumtumia Diamond ni sahihi ukilinganisha na matukio ya kashfa za ngono aliyonayo ya kugonganisha wanawake kila uchao?
TAFAKARI.
duuh hii kweli ndo ile wanayosemaa mchawi wako mkabidhi mtoto amleee
Do as I say, but not as I do.Majuzi kijana huyu nguri katika tasnia ya muziki wa kisasa Diamond alionekana kwenye vyombo vya habari akitumbuiza (Kutoa elimu kwa wana jamii) katika kampeni ya elimu ya UKIMWI ya TUPO WANGAP?. Kwa upande mmoja inaweza kutetewa kuwa kwa sasa ni mmoja wa watu wenye nyota ya kuweza kukusanya umati mkubwa wa watu. Lakini tukienda kwenye uadilifu, je, kumtumia Diamond ni sahihi ukilinganisha na matukio ya kashfa za ngono aliyonayo ya kugonganisha wanawake kila uchao?
TAFAKARI.
Majuzi kijana huyu nguri katika tasnia ya muziki wa kisasa Diamond alionekana kwenye vyombo vya habari akitumbuiza (Kutoa elimu kwa wana jamii) katika kampeni ya elimu ya UKIMWI ya TUPO WANGAP?. Kwa upande mmoja inaweza kutetewa kuwa kwa sasa ni mmoja wa watu wenye nyota ya kuweza kukusanya umati mkubwa wa watu. Lakini tukienda kwenye uadilifu, je, kumtumia Diamond ni sahihi ukilinganisha na matukio ya kashfa za ngono aliyonayo ya kugonganisha wanawake kila uchao?
TAFAKARI.
Majuzi kijana huyu nguri katika tasnia ya muziki wa kisasa Diamond alionekana kwenye vyombo vya habari akitumbuiza (Kutoa elimu kwa wana jamii) katika kampeni ya elimu ya UKIMWI ya TUPO WANGAP?. Kwa upande mmoja inaweza kutetewa kuwa kwa sasa ni mmoja wa watu wenye nyota ya kuweza kukusanya umati mkubwa wa watu. Lakini tukienda kwenye uadilifu, je, kumtumia Diamond ni sahihi ukilinganisha na matukio ya kashfa za ngono aliyonayo ya kugonganisha wanawake kila uchao?
TAFAKARI.
Majuzi kijana huyu nguri katika tasnia ya muziki wa kisasa Diamond alionekana kwenye vyombo vya habari akitumbuiza (Kutoa elimu kwa wana jamii) katika kampeni ya elimu ya UKIMWI ya TUPO WANGAP?. Kwa upande mmoja inaweza kutetewa kuwa kwa sasa ni mmoja wa watu wenye nyota ya kuweza kukusanya umati mkubwa wa watu. Lakini tukienda kwenye uadilifu, je, kumtumia Diamond ni sahihi ukilinganisha na matukio ya kashfa za ngono aliyonayo ya kugonganisha wanawake kila uchao?
TAFAKARI.
hili ni jukwaa husika kwa mada yako uloyoiweka???????????????
Kama Ney mwenyewe alimuuliza hiyo ni tabia gani ya kuchanganya mabinti kama kokote iweje yeye aje kutoa somo la tupo wangapi? Kama mimi ningekuwa mfadhili wa mradi huo, haraka ningewanyang'nya pesa yangu.