Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Je ni sahihi kondakta wa daladala kupiga kelele za kuita abiria? Au abiria hawajui wanakokwenda? Je abiria wanakuwa hawaoni usafiri?
Hii tabia ya kondata kuita abiria na kutangaza vituo daladala zinakoelekea inanipa maswali mengi sana
Huwa napata maswali makubwa matatu?
1: Abiria hawafahamu wanakokwenda mpaka watangaziwe?
Kama hawafahamu wanakokwenda walifuata nini vituoni
2: Je abiria ni vipofu?
Kama abiria ni vipofu walifikaje vituoni
Mbona daladala zimechorwa alama pembeni na kuandikwa majina ya vituo zinakoelekea kuna haja gani ya kupiga kelele
3: Kwanini kondakta atangaze huku gari lake limechorwa alama na kuandikwa majina ya vituo?
Ama ni tabia ya kondata kusumbua abiria!
Hii tabia ya kondata kuita abiria na kutangaza vituo daladala zinakoelekea inanipa maswali mengi sana
Huwa napata maswali makubwa matatu?
1: Abiria hawafahamu wanakokwenda mpaka watangaziwe?
Kama hawafahamu wanakokwenda walifuata nini vituoni
2: Je abiria ni vipofu?
Kama abiria ni vipofu walifikaje vituoni
Mbona daladala zimechorwa alama pembeni na kuandikwa majina ya vituo zinakoelekea kuna haja gani ya kupiga kelele
3: Kwanini kondakta atangaze huku gari lake limechorwa alama na kuandikwa majina ya vituo?
Ama ni tabia ya kondata kusumbua abiria!