Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmecheka mno mkuu hata kama mmegonganisha macho upo upande wa pili wa barabara anawasha chombo kukufwata 🤣🤣🤣🤣🤣Wale mkigonganisha macho tu anawasha chombo.
Atalipwaje bila kufanya kazi,atakuwa na kazi gani kwenye gari.Interview ya konda ni uwezo wa kuita abiria😀😀😀🔥Je ni sahihi kondakta wa daladala kupiga kelele za kuita abiria? Au abiria hawajui wanakokwenda? Je abiria wanakuwa hawaoni usafiri?
Hii tabia ya kondata kuita abiria na kutangaza vituo daladala zinakoelekea inanipa maswali mengi sana
Huwa napata maswali makubwa matatu?
1: Abiria hawafahamu wanakokwenda mpaka watangaziwe?
Kama hawafahamu wanakokwenda walifuata nini vituoni
2: Je abiria ni vipofu?
Kama abiria ni vipofu walifikaje vituoni
Mbona daladala zimechorwa alama pembeni na kuandikwa majina ya vituo zinakoelekea kuna haja gani ya kupiga kelele
3: Kwanini kondakta atangaze huku gari lake limechorwa alama na kuandikwa majina ya vituo?
Ama ni tabia ya kondata kusumbua abiria!
Sahihi kabisaSio kila abiria ni mwenyeji wa anakoenda,halafu sio vituo vyote vimeandikwa kwenye gari.Pia sio kila safari unapanga kutokea nyumbani.
Ukipata majibu, jiulize tena mbona NIDA wanataka cheti cha kuzaliwa, inamaana hadi umeenda pale hawaamini kama umezaliwa!?Je ni sahihi kondakta wa daladala kupiga kelele za kuita abiria? Au abiria hawajui wanakokwenda? Je abiria wanakuwa hawaoni usafiri?
Hii tabia ya kondata kuita abiria na kutangaza vituo daladala zinakoelekea inanipa maswali mengi sana
Huwa napata maswali makubwa matatu?
1: Abiria hawafahamu wanakokwenda mpaka watangaziwe?
Kama hawafahamu wanakokwenda walifuata nini vituoni
2: Je abiria ni vipofu?
Kama abiria ni vipofu walifikaje vituoni
Mbona daladala zimechorwa alama pembeni na kuandikwa majina ya vituo zinakoelekea kuna haja gani ya kupiga kelele
3: Kwanini kondakta atangaze huku gari lake limechorwa alama na kuandikwa majina ya vituo?
Ama ni tabia ya kondata kusumbua abiria!
Kwakweli hili ni tatizo, kuna mambo mengine hatukutakiwa kufanya kabisaMwafrika bado hajafikia level ya kuwa binadamu kamili.
Kwa nchi za wazungu hakuna utakacho ambiwa. Ni wewe unatakiwa kujua usafiri huu unakwenda wapi na unatakiwa ushuke sehemu gani.
Hakuna waku muuliza.
Hizo kelele zinakuwa za maandishi?Kama hawatamki sana kelele kibao zinaletwa na nini?Hata pale airport kelele kibao sema wao wanaandika zaidi kuliko kutamka but issue ni hiyohiyo..
Yamenikuta jana tu nimepanda gar nimemkuta jamaa mlangoni kashika pesa na vikaratasi nime mwambia nishushe stereo mi sio mwenyeji natoka buza hapo akasema tunapita hapo akuna shida kumbe sio konda mbele kashuka kaachiwa sjui 200 yake kasepa konda ajui gar mpaka kariakoo kumfata na kuta sura nyngne kumwambia akasema jamaa akumpa maagizo nilikereka kinomaNachukia konda ambaye hataji vituo ,mtu mgeni unaweza vukishwa