Hakuna Mkristo anayeweza kuuliza swali la kijinga namna hii! We ni mvaa kobazi na tunajua jibu unalotafuta. Sasa nakujibu: NI SAHIHINauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Waislam wanakuka sana hii kitu labda usrme wasabatoNauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Hadithi za kwenye Pombe hizo ziache huko huko kwenye vilabu vya mbege na kimpumu...Nina jamaa yangu muislam mkewe mkristo. Wote wanakunywa pombe Ila jamaa anasema mkewe siku akila kitimoto hamgusi mida ya usiku.
Jamaa yako sio muislam, hacha stori za kileviNina jamaa yangu muislam mkewe mkristo. Wote wanakunywa pombe Ila jamaa anasema mkewe siku akila kitimoto hamgusi mida ya usiku.
Kama hicho chombo kikioshwa vzr kuondoa shombo ya kitimoto hakuna shida mkuuNauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?
Shuka hapa Buguruni kwa Saidi, sema tu unataka kavu, roast ya mboga mboga au ipiUmeamua tu kututia hamu usiku huu....na unajua pale kwa dulla sahivi kishafunga hapiki mdudu hadi kesho.
Pombe sio haramu sio?[emoji1787]Nina jamaa yangu muislam mkewe mkristo. Wote wanakunywa pombe Ila jamaa anasema mkewe siku akila kitimoto hamgusi mida ya usiku.
...Kimuingiacho Mtu Sio Najisi....KIMTOKACHO Mtu ndio Najisi ! Maana Kwa Mtu ndio hutoka Wizi, Wivu, Ulafi, Uzinifu, UONGO, Uuaji na Kadhalika, maana hayo yatoka Moyoni Kwa Mtu wakati Kitimoto kinaishia Tumboni TU ! [emoji846]Nauliza tu maana kwangu mm kitimoto nakula ila Nina ndugu zangu ni waislam
Je, Ni sahihi kuchangia au kutumia chombo kilichotumika na nyama ya nguruwe?