Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kule Marekani wachache wanaitwa "SUPER DELEGATES", hao wana nguvu kuliko kura milioni!
Hatuhitaji mabonanza ya uchaguzi, tunapoteza mahela mengi sana na muda kwenda kuchagua watu tusiowajua vizuri.
Mimi kwenye uchaguzi wa 2020 nililetewa orodha ya wagombea ubunge zaidi ya 10, madiwani zaidi ya 20. Nitawajulia wapi wote hao zaidi ya kuweka tiki kishabiki tu, kivyama tu?. Tena kuna wengine kwa sababu hawawajui wagombea vizuri wanaangalia nani ana sura nzuri kwenye karatasi ya kura!.
Tunahitaji chombo cha kutupa viongozi bora, Hii kazi haiwezi kufanywa na raia wengi wasio na uelewa mpana wa mambo. Tutaishia kuweka watu madarakani kwa sababu wanajua kuchonga tu majukwwani lakini hawana track record yeyote ya maana ya kuonnyesha kuwa wanauweza uongozi.
Hatuhitaji mabonanza ya uchaguzi, tunapoteza mahela mengi sana na muda kwenda kuchagua watu tusiowajua vizuri.
Mimi kwenye uchaguzi wa 2020 nililetewa orodha ya wagombea ubunge zaidi ya 10, madiwani zaidi ya 20. Nitawajulia wapi wote hao zaidi ya kuweka tiki kishabiki tu, kivyama tu?. Tena kuna wengine kwa sababu hawawajui wagombea vizuri wanaangalia nani ana sura nzuri kwenye karatasi ya kura!.
Tunahitaji chombo cha kutupa viongozi bora, Hii kazi haiwezi kufanywa na raia wengi wasio na uelewa mpana wa mambo. Tutaishia kuweka watu madarakani kwa sababu wanajua kuchonga tu majukwwani lakini hawana track record yeyote ya maana ya kuonnyesha kuwa wanauweza uongozi.