Pre GE2025 Je, ni sahihi kuruhusu wajinga wengi kuchagua viongozi au wachache wenye akili kufanya hivyo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata hapa CCM inao super degates kwenye chama chao kama ilivyo Republicans na Democrats huko Marekani.
 
Mbeki na Zuma waling'olewa na chama chao cha ANC kama vile Ndugai alivyong'olewa na CCM uspika hapa bongo.
 
Democracy vs Aristocracy

Moja wapo ya udhaifu wa mfumo wa demokrasia ni wajinga kupata nafasi za kuwa viongozi.
Hata kwenye aristocracy wajinga huwa wanapata nafasi za uongozi, historia imejaa mifano tele ya wafalme na madikteta wajinga, majuha, wapumbavu na makatili sana.
 
Usiige marekani hapakwetu hatuna hatahao wachache wenye akili. Tumejaa wajinga mwanzo mwisho kaunabisha nitajie mwenyeakili mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…