Je, ni sahihi kwa mwanamke kunyonyesha hadharani?

Wewe mtoto wewe!mtoto kwenye safari huwezi kumpangia mda wa kunyonya,unaweza ukamaliza kumnyonyesha mda huo huo akaanza kulia.Mambo mengine achana nayo
Ouky MS. Nimekuelewa
 
Nafikiri,maana kakazana kweli.
Ameuliza tumemwambia ni sahihi bado anabisha na hana mke wala mtoto😂😂
Ana akili iliyo fungwa, (closed minded) yaani hataki kuelimika, anacho kiamini yeye ndiyo hicho hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…