Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Nadhani ni mind set, (mitizamo tu) vinginevyo mimi sioni kama kuna tatizo ni chakula cha mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNadhani ni mind set, (mitizamo tu) vinginevyo mimi sioni kama kuna tatizo ni chakula cha mtoto
Sasa kipi kinakuumiza kama sio nyonyo ya mtotoKwenye Uzi wapi nimesema nimetamani kitu au mtu?
Wapi nimesema kuna kitu kinaniumiza?Sasa kipi kinakuumiza kama sio nyonyo ya mtoto
Mila haziruhusu lakini kuna mambo mengi ya kuyarekebisha kwenye jamii, lakini jamii zetu zimenyamaza, (there many burning issues society have failed to create methods that will help to overcome them), silence surrenders public responsibilityWewe unaweza ruhusu mke wako anyonyeshe mtoto na kuachia kifua wazi mbele ya wazazi wako?
Kwahiyo wewe unaona ni sawa mke wako akikaa kifua wazi mbele ya wazazi wako?Mila haziruhusu lakini kuna mambo mengi ya kuyarekebisha kwenye jamii, lakini jamii zetu zimenyamaza, (there many burning issues society have failed to create methods that will help to overcome them), silence surrenders public responsibility
Soma na kukielewa nilichokiandikaKwahiyo wewe unaona ni sawa mke wako akikaa kifua wazi mbele ya wazazi wako?
Nimesoma na sijaona majibu ya swali nililo kuulizaSoma nilichokiandika
Maneno ya mwanzoni yanamaanisha niniNimesoma na sijaona majibu ya swali nililo kuuliza
Narudia:Maneno ya mwanzoni yanamaanisha nini
Sasa mtoto ake na njaa kisa akuogope wewe.Narudia:
Kwahiyo wewe unaona ni sawa mke wako akikaa kifua wazi mbele ya wazazi wako?
Tatzo huelewi na una kichwa kigumu.Sasa mtoto ake na njaa kisa akuogope wewe.
Afunike mtoto akose hewa mzee we vipi.Anatakiwa atoe Nyonyo dogo akamatie.Tatzo huelewi na una kichwa kigumu.
Nimesema mtoto lazima apewe chakula, lakini ni busara kama Mama yake atafunika na kutoruhusu stranger's kuona kifua chake.
DNarudia:
Kwahiyo wewe unaona ni sawa mke wako akikaa kifua wazi mbele ya wazazi wako?
Huo ni mtizamo wa kifikra yaani akili zilizofungwa,( closed minded), mama anaye nyonyesha hunyonyesha popote pale, maziwa ya mama ndiyo chakula chenye virutubisho vingiNarudia:
Kwahiyo wewe unaona ni sawa mke wako akikaa kifua wazi mbele ya wazazi wako?
Una uhakika waafrika pekee ndyo wana tamaduni za aina hiyo?Jamii zetu za Afrika
D
Huo ni mtizamo wa kifikra yaani akili zilizofungwa,( closed minded), mama anaye nyonyesha hunyonyesha popote pale
Ukiangalia tamaduni za kiafrika mwanamke kuacha maziwa nje sio ajabu kabisa, angalia utamaduni wa kimakonde wa mabinti kuchezwa wanaachwa kifua wazi Chuchu konzi zinaonekana waziwazi, ila chini kunafichwa vizuri, kwa wazungu utaona chini hawana shida nako ila juu wanaficha sasa sijajua kama ni utamaduni au ni nini.View attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Sina mkeAu mjomba mke wako katoa nyonyo hadharani nini kamnyonyesha dogo.
Kweli hilo haliwezekani na lazima mtoto apewe chakula mahali popote, ila Mama afunike kifua chake kwa lengo la kutunza heshima yake.kwamba wataacha kunyonyesha hadharani hilo haliwezekani
Good 👍 thinkingUkiangalia tamaduni za kiafrika mwanamke kuacha maziwa nje sio ajabu kabisa, angalia utamaduni wa kimakonde wa mabinti kuchezwa wanaachwa kifua wazi Chuchu konzi zinaonekana waziwazi, ila chini kunafichwa vizuri, kwa wazungu utaona chini hawana shida nako ila juu wanaficha sasa sijajua kama ni utamaduni au ni nini.
Kwenye suala la kunyonyesha mama hana maamuzi nalo huwa anatimiza matakwa ya mtoto popote atakapokuwa labda tu wajitahidi kuficha na kitenge au bebishoo lakini kwamba wataacha kunyonyesha hadharani hilo haliwezekani