Malaika wa Misukosuko
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 2,470
- 7,376
Kiuhalisia Nyonyo za mwanamke kazi yake ni chakula cha mtoto tu, ila ni nyege zetu tu wanadamu ndo zimefanya Nyonyo za Mwanamke kuwa na multiple purposes.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi kuona asiyenyonyesha aliziweka hadharani? Elewa neno kunyonyesha kwanza yaani inabidi kumpa mtoto chakula chake nayonazuia wa kigezo cha heshima? Baadae mfakuja na hoja kuwa kutembea na mimba hadharani nayo sio heshimaSio watu weupe tu, hata sisi pia tuna heshimu sehemu hizo na sio vizuri kuionyesha hadharani
Mwili wa mwanamke kiujumla ni nyeti na haupaswi kuoneshwa hovyoKiuhalisia Nyonyo za mwanamke kazi yake ni chakula cha mtoto tu, ila ni nyege zetu tu wanadamu ndo zimefanya Nyonyo za Mwanamke kuwa na multiple purposes.
Mbona wapo wengine wanafanya hivyo hadharani lakini wanafunika watu wasione.Uliwahi kuona asiyenyonyesha aliziweka hadharani? Elewa neno kunyonyesha kwanza yaani inabidi kumpa mtoto chakula chake nayonazuia wa kigezo cha heshima? Baadae mfakuja na hoja kuwa kutembea na mimba hadharani nayo sio heshima
SawaNi sahihi.
Huo ni utashi wa mtu binafsi ameona anapompa chakula mtoto basi afunike. Hata humu mahotelini unakuta pamewekwa paa na milango ila hiyo haizuii wewe kula nje pale standMbona wapo wengine wanafanya hivyo hadharani lakini wanafunika watu wasione.
Mbona hujamtaja mtoto? Au baba anahaki na ziwa kuliko mtoto?Ndio, maziwa hayatakiwi kuonekana na mtu yeyote, tofauti na mume wake
Basi sawaKama kazungukwa na mume pamoja na michepuko yake Kama ishirini hivi,kuna haja ya kujificha?
Sidhani kama mtoto anatakiwa kunyimwa chakula chake,kisa maziwa ya mama yasionekane,hata hivyo unatamanije mariti yanayonyonyesha?
Mwenye maamuzi ni dereva, alafu si kuna chamber ya wamama kunyonyesha au? Vituo vya mapumziko je?Mtoto akipata njaa kwenye bus au SGR mpo tayari kumsubiri mama akatafute kichaka anyonyeshe
Ukiweka picha ya hizo chemba hoja yako itakuwa na mashikoMwenye maamuzi ni dereva, alafu si kuna chamber ya wamama kunyonyesha au? Vituo vya mapumziko je?
😂😂 UmemalizaWewe ulinyonyeshwa hadharani afu Leo unajidai mjuaji? Utatamani hadi mbuzi.
View attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Tayari hoja yangu haina mashiko Tena!Ukiweka picha ya hizo chemba hoja yako itakuwa na mashiko
Mtindio wa ubongo kabisaIkiwa wewe unakula hadharani basi hakuna tatizo kwa mtoto kunyonyeshwa hadharani.
Ikitokea ukatamani ziwa la mama anaenyonyesha basi una walakini mkubwa.
Wewe mtoto wewe!mtoto kwenye safari huwezi kumpangia mda wa kunyonya,unaweza ukamaliza kumnyonyesha mda huo huo akaanza kulia.Mambo mengine achana nayoMwenye maamuzi ni dereva, alafu si kuna chamber ya wamama kunyonyesha au? Vituo vya mapumziko je?
Unaposema mkusanyiko wa watu ni kuanzia watu wa ngapi?Mindset yangu ni kwamba wanawake wanapaswa kusitiri sehem zao nyeti hasa wakiwa maeneo yenye mikusanyiko ya watu
Kweli!? kwahiyo anapopata hisia kwa mkewe huwa anakuwa amemtazama kama chombo cha starehe, ndio maana hisia zinakuja!?Ukimtazama mwanamke katika jicho la chombo cha starehe hakuna atachovaa, hakuna atachofanya hautatamani. Badili mindset kwanza.