Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta chura fungia ndani wiki nzma pga asubuh mchana na jion, halaf kaa karbu na mama anaenyonyesha tuone kama utahisi hzo nyege zako.Akili ninazo ndyomaana nakemea vitendo vya kuonesha sehemu za siri hadharani
Mambo ya kizimkazi!Mabata ushingi ndyo nini Mkuu?
Ndyomaana nikasema akili zako zinawaza ngono tuTafuta chura fungia ndani wiki nzma pga asubuh mchana na jion, halaf kaa karbu na mama anaenyonyesha tuone kama utahisi hzo nyege zako.
Kuiheshimu ndyo jambo la msingiJiulize unaweza kutoa nyonyo nje mbele ya baba au baba mkwe wako ukanyonyesha mtoto.Kama unaweza ni haki kama huwezi then jiheshim
We nyege znakumbua hakuna lengneNdyomaana nikasema akili zako zinawaza ngono tu
Ndyomaana nikasema akili zako zinawaza ngono tuWe nyege znakumbua hakuna lengne
Labda unawaza kizungu. Kiafrika hakuna shida sehemu ya siri ni kwenye uchi tu ndio maana toka enzi Waafrika wanapatunza sana kwenye uchi uwe wa mwanamke ama mwanaume. Ila wazungu wanaona sehemu ya siri kwa mwanamke ni matiti ndio maana wao kuacha uchi wazi ni kawaida yao.View attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Mijini Ni wachache sana wanao funika vifua vyao, wengi tunaona wanajichia bila kujali heshima zao.Kwa huku mijini inategemea mtu na mtu na ndio sababu wengi wakitembea na watoto basi lazima atakuwa na mtandio ikitokea mtoto ametaka kunyonya basi anajifunika ni wachache wenye kujiacha wazi hasa eneo lenye watu wengi.
Japo hii ni tofauti sana na kule vijijini yaani mama akiwa ananyonyesha basi uthamani wa kifua unapotea tena kwa sisi waswahili huwa hatujali wala nini.
Mtoto lazima anyonyeshwe, lakini ni lazima pia Mama afunike kifua chake na kuficha wengine wasioneyani mtoto awe ananjaa ashindwe kunyonyeshwa kisa mambo yenu!
Wengi hawafahamu hilo Mkuu, wanadhani kila sehemu inafaa kuachwa wazi mahali popote.Ni sahihi ikiwa tu huyo mnyonyeshaji ndiye anayemiliki UCHAWI DUNIANI...
Vinginevyo ,macho ya "waja" mmmh..
Watu wanatembea na mauchawi yao...atapigwa mtu MWANGENI aione dunia chungu.....
Si vyema na busara kabisa kwani likirogwa NYONYO analotumia mtoto ni vipi usalama utapatikana kwa maziwa anayonyonya mwana?!!!
Humkuti mwanamke anayefahamu "tenets" za maisha akalitoa NYONYO hadharani...
Peace & Love [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakuna haja ya kupata hisia, chamsingi ni wanawake waheshimu na kusitiri sehemu zao nyeti wakiwa maeneo ya hadharaniIla Mungu fundi wakuu
Ukiona manyonyo ya mwanamke akiwa ananyonyesha hayavuti husia za ngono
Heshima na nidhamu kwa tafsiri ya watu weupe.Kama una heshima na nidhamu ndyo utajua sababu na umuhimu wa kusisitiza kujisitiri
Mtoto akipata njaa kwenye bus au SGR mpo tayari kumsubiri mama akatafute kichaka anyonyesheKwa kawaida maziwa ni mojawapo ya Sehemu za siri, mmama anaponyonyesha anatakiwa kukaa mbali na watu, au wanaume