The Technologist
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,242
- 2,544
Sio sahihi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna mtoto wewe.Haki ya mtoto haihalalishi mama yake kukaa uchi mbele za watu
Bob Manson hapo sijajua heshima gani unayoiongelea hapo labda ufafanue?Kilicho katika fikra zangu ni kwamba wanawake wanaofanya hivyo wanavunja heshima zao wenyewe.
Kilicho katika fikra zangu ni kwamba wanawake wanaofanya hivyo wanavunja heshima zao wenyewe.
NinayeHuna mtoto wewe.
Anapaswa ampe mtoto kwani ni haki yake, lakini pia anapaswa kufunika kifua chake au kuficha watu wengine wasione.Bob Manson hapo sijajua heshima gani unayoiongelea hapo labda ufafanue?
Kwa mfano mama yupo kwenye mwendokasi au basi ana mtoto akilia anatakiwa afanyeje?
Labda una point toa ushauri
HunaNinaye
VyemaSio sahihi.
Unanifahamu au labda tunaishi mtaa mmoja?Huna
Uchungu wa mwana,......btw define "uchi"Unanifahamu au labda tunaishi mtaa mmoja?
Uchungu wa mwana haihusiani na hii mada, Mama anatakiwa ajisitiri na kutunza heshima yake mbele za watu.Uchungu wa mwana,......btwdefine "uchi"
Ni kukosa hekima, mtoto anaweza akanyonya na kumaliza mama bado kayaacha nje, yeye yuko busy na simu.Sahihi Mkuu, tatzo kubwa ni kukosa busara na ustaarabu.
Wanakosa hekima ingali wao ni wazazi, na wao ni mifano ya kuigwa katika jamii, wakifanya hivyo mabinti zao watakuwa wanajifunza nini?Ni kukosa hekima, mtoto anaweza akanyonya na kumaliza mama bado kayaacha nje, yeye yuko busy na simu.
Kujistiri ni nini?, Kwa mujibu wa nani?.Uchungu wa mwana haihusiani na hii mada, Mama anatakiwa ajisitiri na kutunza heshima yake mbele za watu.
Kama hujui maana ya kujistiri basi nenda ukajifunze kwanza kuhusu hilo.Kujistiri ni nini?, Kwa mujibu wa nani?.
Kwa wengine mwananke akiacha sura wazi huyo yuko uchi!
Sahihi Mkuu, wengi wakisha zaa watoto wanaiona hiyo sehemu kama sio ya siri tena.Sio sawa kabisa, wanawake wanalifanya hili kama jambo la mazoea kwa kisingizio cha kua ananyonyesha mtoto tafuteni kanga wakati wa kunyonyesha mfiche sehemu zenu (hio ni sehemu ya siri)
View attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Lugha ya matusi ni ishara kwamba huna hoja ya msingi, akili yako inawaza ngono tu.Umalaya tu unakusumbua mbwa mbakaji wewe
Inabidi huo mkusanyiko uanzie watu wangapi?Mindset yangu ni kwamba wanawake wanapaswa kusitiri sehem zao nyeti hasa wakiwa maeneo yenye mikusanyiko ya watu