Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawape watoto chakula lakini wafunike au kuficha maumbile yao.
Hatujakataa watoto wasinyonyeWaacheni watoto wanyonye
Sio ubishi bali ni misimamo iliyo na misingi ya heshima na utu.
Wewe ndiyo unajua kutunza heshima zao kuliko wao wenyewe? Kwani wakati wakunyonyesha wanalazimishwa? Usijizungushe zungushe wewe acha kuangaika na manyonyo ya hao wanawake wakati wakinyonyesha.Akili yako ndyo imeishia hapo kwenye mawazo ya ngono tu, mimi hoja yangu ni kujistiri na kutunza heshima zao.
Sio sahihi kuonyesha sehemu za siri hadharani kwa kisingizio cha kumpa mtoto chakula.Wewe ndiyo unajua kutunza heshima zao kuliko wao wenyewe? Kwani wakati wakunyonyesha wanalazimishwa? Usijizungushe zungushe wewe acha kuangaika na manyonyo ya hao wanawake wakati wakinyonyesha.
Kilicho katika fikra zangu ni kwamba wanawake wanaofanya hivyo wanavunja heshima zao wenyewe.Bob Manson sijajua kilichopo katika fikra zako ila labda wewe binafsi unafikiri nini ukiona mtoto akinyonya?
.
Sahihi kabisaHapana, sio busara kunyonyesha mbele ya watu kwakweli
Wewe acha kuyatolea macho manyonyo wakati watoto wakipata chakula.Sio sahihi kuonyesha sehemu za siri hadharani kwa kisingizio cha kumpa mtoto chakula.
Huo ndyo msimamo wangu.
Sio sahihi kuonyesha maumbile ya siri hadharani, wanavunja heshima zao wenyewe.Wewe acha kuyatolea macho manyonyo wakati watoto wakipata chakula.
Kwanini usisubiiri urudi hom ndiyo umuombe wife unyonye.Mi nikiona mwanamke ananyonyesha hadharani na mimi huwa namuomba ninyonye
Kwangu ni sahihi x 1001 kunyonyesha hadharani. Mtoto ashibe ndo la msingi.View attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Je, kifua cha mwanamke kina thamani pale ambapo hajazaa na akizaa thamani hiyo inapotea na anaweza kuonyesha kifua chake mahali popote?
Sahihi Mkuu, tatzo kubwa ni kukosa busara na ustaarabu.Si ustaraabu kunyonyesha ukiwa umeyaacha maziwa wazi kabisa mbele za watu. Busara ni kutafuta faragha na kumnyonyesha mtoto na kama mazingira hayaruhusu basi jifunge wakati unanyonyesha.
Sawa MkuuKwangu ni sahihi x 1001 kunyonyesha hadharani.