Je, ni sahihi kwa Sarah kudai mgawanyo wa mali ambazo hakuhusika nazo kuzichuma? Tuendelee kukataa ndoa?

Huyo dogo alibebwa sana na Sara sema kwa tamaa zake akamkimbiza. ila % ya mali za Konde zimetokana na huyo mwanadaa. arudishe mali za watu. dunia inaenda kwa vielelezo, kama kashinda kesi maana yake ana nyaraka za kumiliki hizo mali
mzungu hata akinunua ice cream anatunza risiti,ndo maana mmakonde kashindwa kesi mapema sana.

sasa anahaha ndai ya miaka 7 baada ya kutoma kusema wcb inamuibia
 

Lakin alisema Crdb ndio walitoa pesa na Jembejembe mbona hakusema sarah ,akauza na nyumba yake
 
mzungu hata akinunua ice cream anatunza risiti,ndo maana mmakonde kashindwa kesi mapema sana.

sasa anahaha ndai ya miaka 7 baada ya kutoma kusema wcb inamuibia
Ataelewa tu angemzalisha watoto2 angekula bata 🤣🤣
 
Ukishaingia kwenye masuala ya kisheria ni bora ukatafuta wakili mwenye umahiri katika swala lako itakusaidia sana.

Ila wakuu tuendelee kuikataa ndoa maana ndoa ni kikoba ipo siku kitavunjwa mgawane.

#KATAA NDOA
 
Jinga Lile mmakonde mmakonde tuu akili kisoda
 
Lakin alisema Crdb ndio walitoa pesa na Jembejembe mbona hakusema sarah ,akauza na nyumba yake
Mbona unabishana na alichokisema Harmo kwa mujibu wa Harmonize Sara ndio aliyemsaidia hata deni la Wasafi kulipa na pia kuna magari alipewa pia na huyo huyo mzungu
 
Mbona unabishana na alichokisema Harmo kwa mujibu wa Harmonize Sara ndio aliyemsaidia hata deni la Wasafi kulipa na pia kuna magari alipewa pia na huyo huyo mzungu

Weka ushahidi aliposema weka hapa
 
Uliziamini zile tantalila zake pale airport? Jembe alilipa na palikuwa na malipo ya endorsement ya CRDB lakini fungu kubwa lilitoka kwa Sara na ndiyo sababu hata maamuzi ya mahakama yamezingatia hilo.
Hawa wanaomtetea Harmonize wanataka tuamini kuwa Mahakama imefikia hayo maamuzi ya kumpa haki Sarah bila kuwa na facts.Kwamba wao reference yao ni Interview ya Harmonize [emoji3][emoji3]
 
Hawa wanaomtetea Harmonize wanataka tuamini kuwa Mahakama imefikia hayo maamuzi ya kumpa haki Sarah bila kuwa na facts.Kwamba wao reference yao ni Interview ya Harmonize [emoji3][emoji3]
Zombies,hawajielewi. It's either hawana akili hata kidogo au wameamua tu kujitoa ufahamu.
 
Ukishaingia kwenye masuala ya kisheria ni bora ukatafuta wakili mwenye umahiri katika swala lako itakusaidia sana.

Ila wakuu tuendelee kuikataa ndoa maana ndoa ni kikoba ipo siku kitavunjwa mgawane.

#KATAA NDOA
Ukishaingia kwenye masuala ya kisheria ni bora ukatafuta wakili mwenye umahiri katika swala lako itakusaidia sana.

Ila wakuu tuendelee kuikataa ndoa maana ndoa ni kikoba ipo siku kitavunjwa mgawane.

#KATAA NDOA
Vijana wa kileo, hivi kweli unataka ukae na mwanamke miaka 10 au mitano anakupikia anakutengenezea nyumba unamtumia ipasavyo anakuzalia watoto afu ukimwacha aanze moja maisha na kukuachia wewe kila kitu alichotengeneza pamoja na alivyokusaidia kutengeneza? Hii roho mnatoa wapi!? Who do u think u are? Mbona hata baba zetu hawakuwa hivyoo!! Nimeshuhudia ndoa nyingi za zamani za wazee wetu zikiisha wala hamna mzozo mahakamani ni baba anampa mama nyumba yake moja gari na kabiashaira au shamba anakwenda kutafuta maisha pahala pengine ila kizazi cha sasa kinataka mwanamke anyanyasike hata kama kakosea mmechuma wote! Mpe chake.. kama kweli utakataa ndoa sababu unaogopa mkichana itabidi umuachie chochote, nawahurumia sana watoto wako, watanyanyasika sana mikononi mwa dunia sababu baba hutaki kumnyanyua mtu anaelea wanao
 
Huyo harmonize mwenyewe alikuwa hajitegemei mwenyewe mwanume suruali kula kuvishwa ni Sarah endiwo mama yake ana m hotel na mmiliki ni Sarah mali za Sarah ndo maana mahakama imempA kila kitu chake sarah kabkia suruali tupu na bado atarudi mtwara, mkopo kwa hela gani harmonize anayo ya kumlipa Sarah??? Harmonize choka mbaya na range zake za wizi za South Africa, wanawake sio utahira wanawake tumeamka hakuna kuzubaa yy harmonize aendelee tu kubadilisha sketi hana jipya, angekuwa ana pesa asingekuwa anakuja nje kupiga show na kulala kwenye majumba ya watu
 
Wakati mwanaume anachuma, hausigeli analea watoto, yeye mwanamke huwa anafanya nini? Maana mida mwingine hivi vitu havimake
Sense hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…