Je, ni Sahihi kwa Serikali kuchukua mashamba ya wananchi na kuwagawia Viongozi?

Je, ni Sahihi kwa Serikali kuchukua mashamba ya wananchi na kuwagawia Viongozi?

Vituka

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
2,266
Reaction score
1,264
Naomba kujua kwa wenye ufahamu wa masuala ya ardhi maana jambo hili kwa akili ya kawaida tu naona haliko sawa. Nafahamu kuwa serikali inaweza kuchukua maeneo ya wananchi kwa manufaa ya jamii nzima (for public interest) na sio kwa ajili ya kuwagawia viongozi.

Naomba kupata msaada wa mawazo katika hili maana nahisi KUPASUKA KWA HASIRA!! Yaani sasa hivi wananchi tunatishiwa kwa sababu tu tumekataa mashamba yetu yasichukuliwe na kupewa viongozi?
 
Naomba kujua kwa wenye ufahamu wa masuala ya ardhi maana jambo hili kwa akili ya kawaida tu naona haliko sawa. Nafahamu kuwa serikali inaweza kuchukua maeneo ya wananchi kwa manufaa ya jamii nzima (for public interest) na sio kwa ajili ya kuwagawia viongozi.

Naomba kupata msaada wa mawazo katika hili maana nahisi KUPASUKA KWA HASIRA!! Yaani sasa hivi wananchi tunatishiwa kwa sababu tu tumekataa mashamba yetu yasichukuliwe na kupewa viongozi?
Pole sana..wapi huko na situation ikoje mana bado kuna vitu unaficha.

Anyway ukiona giza linazidi ujue kumekaribia kuchwa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom