Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very good. Anawawakilisha mult choice Tanzania
Ni swali zuri_ingawa lina kila element za kikaburu.
NAJIULIZA KILA SIKU, kwanin Tz TUNASHIRIKI huu upambavu BBA...??
ni AIBU kwa TAIFA, wala sio SIFA.
Yeyote anayeshabikia Upumbavu naye pia ni mpumbavu.
Kumbe hayo mashindano yana maana sana kwa nchi yetu!!!
umejibu vizuri sana Heaven on earthwewe unaujua upumbavu au unaropoka tu....., na kama ni upumbavu umelazimishwa kuangalia.......? mtu mwenyewe huna DSTV show huangalii afu unajifanya upumbavu habu kalale mbele......
Bongolala naona una machungu, ila ukweli bwana unauma. Shida ni lugha tu ndugu yangu, wala sio kingine. Kama alivyochangia hapo Resi na wengineo, uwezo wa kupeleka watoto shule zinazofundisha kiingereza fasaha una nafasi katika kuwatayarisha katika mashindano ya kimataifa. Hebu imagine, japo ni star wa kiwango chake, kumpeleka Joti (no disrespect) BBA, ni vipi ataiwakilisha. Tusifanye ubaguzi, tukianza hayo basi hata wapare watasema wakurya wanapendelewa nafasi za jeshi. Kwingineko EAC, Kiswahili kinashika kasi kwa ajabu, kuwa mvumilivu, yatakuja ma BBA mengine au hata BBTZ yanayohitaji waongeao Kiswahili. Hapo Joti na Mpoki wataweza tuwasilisha (much respect bros)..Hapo kuna dharau dhidi wa watu weusi,pia elimu yetu imetufanya kiingereza tusikizungumze vizuri.naunga hoja kura apigiwe na mashombe wenzake
Wazazi wa "mashombe" asilimia kubwa wana-kauwezo hivyo na makinda yao yanaenda shule za "uhakika", hence kimombo kinapanda, hence kuchaguliwa kwa urahisi BBA.... henve .... diy.....