bigboi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 1,522
- 4,758
Kuna wabongo wengine waajabu sana sio watanzania kwasababu ni mashombe yaani tunabaguana wenyewe mimi hapa ni mweusiii zaidi ya mpoki na wa support watanzania wote ambao wapo bba we kama hutaki kuangalia hujalizimishwa kuna wabongo wana roho ya mbaya sana unaenda uwanja wataifa kuizomea timu yako ya taifa wabongo kwa majungu