super eagle
Member
- Jun 23, 2021
- 38
- 24
- Thread starter
- #21
i will go on airing my whistle voice ...until something happen kindly support me on this.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaana gani hamna replacement?Yes ni sawa, mtumishi wa umma anapofikisha umri wa kustaafu kwa mujibu wa miaka 60, kama hakuna replecement, anaruhusiwa kuongezewa mkataba wa miaka miwili miwili mwisho mikataba 2. akifikisha umri wa 65 ndio umri wa mwisho kwa mtumishi wa umma.
P
Ana maana kwa kipindi hicho hakuna mwenye sifa stahiki kuendeleza pale alipofikia aliyeongezewa mkataba.Unamaana gani hamna replacement?
Up Ni ubinafsi. Hakuwezi kosekana na replacement hata siku moja. Sema kuwa kunaubinafsi na watu wanataka kufia kazini. Apprenticeship na transfer of knowledge hivi vitu havipo wizarani huko au ? Wazee Ni wabinafsi, wao walipewa fursa wakiwa na umri mdogo tu ila siku izi utasikia vijana hawana uwezo blabla!!!Ana maana kwa kipindi hicho hakuna mwenye sifa stahiki kuendeleza pale alipofikia aliyeongezewa mkataba.
mkitaka nitawapa current availables taff status and experience yao...halafu nitaweka ya hao walioongezewa.....Ana maana kwa kipindi hicho hakuna mwenye sifa stahiki kuendeleza pale alipofikia aliyeongezewa mkataba.
Kama umenisoma vizuri hapo juu ni kuwa succession plan ni mbovu sana katika taasisi za serikali. Kuna taasisi nyingine zilishindwa kuajiri kwa hadi miaka mitano, hivyo kukosa watumishi wenye sifa stahiki kuchukua nafasi za wanaostaafu na kulazimika kuwapa mikataba ya kuendelea na kazi wakati huo huo wakiwapa uzoefu hao watakaochukua nafasi zao.Up Ni ubinafsi. Hakuwezi kosekana na replacement hata siku moja. Sema kuwa kunaubinafsi na watu wanataka kufia kazini. Apprenticeship na transfer of knowledge hivi vitu havipo wizarani huko au ? Wazee Ni wabinafsi, wao walipewa fursa wakiwa na umri mdogo tu ila siku izi utasikia vijana hawana uwezo blabla!!!
Toa hiyo status. Lakini kumbuka management ndiyo inafahamu uwezo wa kiutendaji wa watumishi wake. Academic qualifications na uwingi wa miaka kazini peke yake haku-guarantee wapewe nafasi za uongozi.mkitaka nitawapa current availables taff status and experience yao...halafu nitaweka ya hao walioongezewa.....
hicho ndo kichaka kingine ambacho watu wanakitumia......ila take it from me .....kama mkaguzi mkuu wa ndani, mlipaji mkuu wa shirika and mtu mwingine yeyote walihusika kutengeneza dili fulani..... huwa tabia ya wakubwa wengi kuwashikilia kwa muda ili muda uende kuhakikisha kwamba dili wont backfire and if it does then they are there to respond and bare consequencesToa hiyo status. Lakini kumbuka management ndiyo inafahamu uwezo wa kiutendaji wa watumishi wake. Academic qualifications na uwingi wa miaka kazini peke yake haku-guarantee wapewe nafasi za uongozi.
Kwa taarifa yako mkaguzi wa ndani awe mpya au wa zamani hawawezi kuficha uozo uliopo ndani ya taasisi, ni suala la muda tu.hicho ndo kichaka kingine ambacho watu wanakitumia......ila take it from me .....kama mkaguzi mkuu wa ndani, mlipaji mkuu wa shirika and mtu mwingine yeyote walihusika kutengeneza dili fulani..... huwa tabia ya wakubwa wengi kuwashikilia kwa muda ili muda uende kuhakikisha kwamba dili wont backfire and if it does then they are there to respond and bare consequences
Ungekuwa wewe ni Kijazi washauri wako wangekuwa nani zaidi ya hao?mfano madili yote ya mikataba ya hovyo kipindi cha kijazi.....hawa watu watatu (chief audit executive, chief finance executive and chief engineer) ...........walikuwa ndiyo washauri wake wa karibu and untouchable.....sasa wameongezewa wasindikize dili lisjekuja backfire.....
toa mfano hata wa shirika na nafasi hizo ukiwezaMkitaka mfano ninao hapa
ni madili gani hayo?mfano madili yote ya mikataba ya hovyo kipindi cha kijazi.....hawa watu watatu (chief audit executive, chief finance executive and chief engineer) ...........walikuwa ndiyo washauri wake wa karibu and untouchable.....sasa wameongezewa wasindikize dili lisjekuja backfire.....
Pambana na hali yako kwani hao wanaoongezewa wana ujuzi wa kutoshaJe, ni sawa watumishi wa umma kuongezewa mkataba?
Jamani nasema kuna watu wa shirika fulani la umma wanaongezewa mikataba ili hali wameshastaafu. Je, ni sawa watumishi wa umma kuongezewa mkataba ili hali wameshastaafu?
Miaka 65 au 64? Maana ukisema miaka miwili miwili ataishia kuwa na miaka 64 na sio 65.Yes ni sawa, mtumishi wa umma anapofikisha umri wa kustaafu kwa mujibu wa miaka 60, kama hakuna replecement, anaruhusiwa kuongezewa mkataba wa miaka miwili miwili mwisho mikataba 2. akifikisha umri wa 65 ndio umri wa mwisho kwa mtumishi wa umma.
P
Kwa hiyo unataka kusema kwamba hiyo organization ni poor kiasi kwamba imeshindwa kuwa train watu wake kiasi cha kuongezea watu mikataba?Toa hiyo status. Lakini kumbuka management ndiyo inafahamu uwezo wa kiutendaji wa watumishi wake. Academic qualifications na uwingi wa miaka kazini peke yake haku-guarantee wapewe nafasi za uongozi.
Mfugale alifikisha mingapi?Yes ni sawa, mtumishi wa umma anapofikisha umri wa kustaafu kwa mujibu wa miaka 60, kama hakuna replecement, anaruhusiwa kuongezewa mkataba wa miaka miwili miwili mwisho mikataba 2. akifikisha umri wa 65 ndio umri wa mwisho kwa mtumishi wa umma.
P
Kama umenisoma vizuri hapo juu ni kuwa succession plan ni mbovu sana katika taasisi za serikali. Kuna taasisi nyingine zilishindwa kuajiri kwa hadi miaka mitano, hivyo kukosa watumishi wenye sifa stahiki kuchukua nafasi za wanaostaafu na kulazimika kuwapa mikataba ya kuendelea na kazi wakati huo huo wakiwapa uzoefu hao watakaochukua nafasi zao.