Je ni sahihi mahakama kuzuia shughuli za chama hai?

Je ni sahihi mahakama kuzuia shughuli za chama hai?

kwa hiyo ww mahakama huiheshimu

Sijawahi kata kadi na kulipia ada za kuwa mwanachama wa mahakamani, ni kitu imposed kwangu, Chama nimekitafuta mwenyewe nikasoma katiba nikajiunga kwa kulipia kadi, it comes before any other body. Na siku kiongozi wa chama cha hiari kama cha siasa na wanachama wenzangu wakisema basi inakuwa basi maana sio kuhoji maslahii yangu yatakuwaje, kumbe mko kwenye chama kwa maslahi binafsi???kwa maslahi y chama viongozi wanasema bas wewe unahoji maslahi yako???
 
kama walichukua MIHELA ya watu unadhani watafanyaje ? ili angalau ionekana hela zimetumika ni lazima wapambane .
 
Unaingia kwa hiari bila kwenda kuomba mahakama ikutafasirie katba na kanuni, unapokiuka unatoka kwa hiari bila kuleta tafasiri za mahakama kama ulivyoingia.
 
Samahani ni kama Mwanamke Malaya, anatumika kuonesha fedha anayolipwa inastahiri ndo maana hujitia ufundi kibao na yuko tayari maumbile yaharibike ili mradi apata pesa kubwa, kazi kwenu Zana Za Kifsadi(ZZK)
 
mpaka uamuzi ukafikiwa hayo maswali yako yote yalifikiriwa kwanza! Anyway cdm si chama huru kama unavyodhani vingnevyo kisingekuwa na ubaguz namna hii.
Chama kupitia viongozi wake wasiokuwa makini kinatengeneza migogoro isiyokuwa ya lazima alafu vikao vinaanza kukaa kuijadili! Unadhan gharama za huu up**mbv atalipa nani kama c nyie MNAODHANI ni wanacdm kutembezewa bakuli na ruzuku ya mamilion kuishia kwenye vikao hv visivyokuwa vya lazma? Poor u blind!
CDM haikumlazimisha zzk kuingia huko na wala haja fungwa minyororo, kama anaona hatendewi haki ondoka nenda kwingine, vyama ni vingi sana. Sasa kama anang'ang'ania cdm, basi yeye si maarufu kama anavyosema, bali maarufu ni cdm. Anajua akitoka huko ndio amekwisha, sasa tunaona anavyo hangaika mara mahakamani mara kwa waganga wakienyeji, haita msaidia kitu. Kama cdm haina democrasia ondoka nenda kwenye democrasia. Sawa na mtu ana lalamika mke wangu malaya lakini hataki kumuacha, haielewiki sasa.
 
Mtu aweza onewa au kosewa na mtu binafsi,taasisi,serikali au chama hivyo anaruhusiwa kumburuza mahakamani mtu binafsi,taasisi,serikali au chama pale anapoona kakosewa.

Vyama ni body corporates zaweza shitaki au kushtakiwa pia.Hakuna aliye juu ya sheria vikiwemo vyama kama CHADEMA inaweekana CHADEMA mnajua people`s power hamjui Court power.People`s POWER sio last resort kuna Court POWER.
Huyo Zito kamati kuu ilimtaka ajitetee kwa nini asifukuzwe uanachama kwa ukosefu wa nidhamu na kukisaliti chama.Baada ya kuleta utetezi wa maandishi walimtaka atokee kwenye kikao cha kamati kuu atolee maelezo yake kwa mdomo ili wajue la kufanya.Akakataa na kuamua kukimbilia mahakamani.Nadhani amekosea yeye ange tokea ajieleze wangempa adhabu ambayo haridhiki nayo ndipo ange enda mahakamani.Hapo nadhani amejimaliza
 
Ingekua mahakama haiwezi kuingilia chama wakina Lissu wasingeenda mahakamani alijua sheria inamtaka aende so mahakama inaweza kuingilia baadhi ya shughuli za chama.
 
Nafurahi kumuona amekuwa wa kuokolewa na mahakama, ni mdogo kama david na wenzake, ZZK eti ana nguvu? mwenye nguvu anakimbilia mahakamani na wanyonge je??? Ni mchache kama punje ya haradali huyo
 
Nafurahi kumuona amekuwa wa kuokolewa na mahakama, ni mdogo kama david na wenzake, ZZK eti ana nguvu? mwenye nguvu anakimbilia mahakamani na wanyonge je??? Ni mchache kama punje ya haradali huyo

Lengo la thread yako ilikuwa ni nini? mbona unajipaka kinyesi??

haukuwahi kusikia mahakama kuingilia shughuli za chama kama kuna ukiukwaji wa katiba ya chama hicho??

baada ya kuona ulichemsha ndio unakuja na hivi vijembe??

haukuona lissu na wenzake wameishashindwa??
 
Huyo Zito kamati kuu ilimtaka ajitetee kwa nini asifukuzwe uanachama kwa ukosefu wa nidhamu na kukisaliti chama.Baada ya kuleta utetezi wa maandishi walimtaka atokee kwenye kikao cha kamati kuu atolee maelezo yake kwa mdomo ili wajue la kufanya.Akakataa na kuamua kukimbilia mahakamani.Nadhani amekosea yeye ange tokea ajieleze wangempa adhabu ambayo haridhiki nayo ndipo ange enda mahakamani.Hapo nadhani amejimaliza

akina mwigamba vipi? yameapata nini?

usifikiri yeye mjinga, ,mbowe aliishapanga atimuliwe na yeye aliishalijua hilo
 
Lengo la thread yako ilikuwa ni nini? mbona unajipaka kinyesi??

haukuwahi kusikia mahakama kuingilia shughuli za chama kama kuna ukiukwaji wa katiba ya chama hicho??

baada ya kuona ulichemsha ndio unakuja na hivi vijembe??

haukuona lissu na wenzake wameishashindwa??

Anaongelea vyeo na maslah yake eti yatakuwa irreparable, je maslahi ya CHAMA anajua pia hayatakuwa irreparable??
 
Nafurahi kumuona amekuwa wa kuokolewa na mahakama, ni mdogo kama david na wenzake, ZZK eti ana nguvu? mwenye nguvu anakimbilia mahakamani na wanyonge je??? Ni mchache kama punje ya haradali huyo

unataka akimbilie kwa waliomhukumu kabla ya vikao
 
Mjinga mbowe leo ana watu wengi ndani ya chama wa kuweza kumfuta uanachama, ni bora ametambua hilo na akakimbilia mahakamani, maana yeye pekee ndo mwelevu ndani ya CDM na Mbowe anawajinga wenzake ktk uongozi na uanachama; Mwisho ya Siku jike la tabia litajulikana tu, mahkama ina mwisho harafu anatukuta wajinga tuko tunamsubiri kama kawa kama dawa, akaanzishe chama cha wajanja n wasaliti TZ, huko atakuwa Mwnyekiti, nadhani simbilisi utakiwa katibu.
 
mbona kalugendo hakwenda mahakamani alipovuliwa upadri as papa!? uliyoingia kwa hiari maana yake ulikubali kanuni na taratibu zake. Ukikiuka wanakuondoa kwa kanuni na taratibu zilezile..!
Wewe mbwiga wa mbwigu kweli Vatican chini ya utawala wa Holy See ni sovereign state. Unapokuwa padri unajisubject kwenye madaraka hayo ya Holy See ambao ni utawala wenye sheria zake zinazojitegemea. Mahakama za Tanzania hazina jurisdiction kuamua kesi ambazo zinatakiwa ziamuliwe na Mahakama za Holy See. Kitu kingine yawezekana Padri Karugendo aliridhika na hukumu iliyotolewa dhidi yake akaridhika hivyo siyo lazima apeleke kesi mahakamani kupinga kufukuzwa kwake. Mfano wako ni butu kabisa na hata aliyeusupport naye ni mbwiga tu.
 
It is enough humiliation to see ZZK hiding in a salon car, running like a headless chicken and crying like a butchered cow just after the knife has sunk past the wind pipe.

The DJ has enough in the CD wallet to make him swing like a drug addicted hooligan.

the chase after betrayers continues, we shall hunt them in all corners of life for one good reason, the majority interest comes first.
 
Mbowe ndio maslahi ya chama???

Kwani anamtaka Mbowe, basi aende Moshi akafugwe kwa Mbowe, vinginevyo ninachoongelea mimi ni Mwenyekiti wa CHAMA, ambaye ukimkusa popote kwenye watu wenye akili umewakugusa wanachama wote bila kujali umemkugusa vipi.

Mtukaneni Mwnyekti wenu maana maisha bora hakuna, Mafuta JUU, KODI JUU, UMEME JUU, MAJI JUU, ARDHI JUU, PANGO LA NHC JUU, KILA KITU JUU isipokua Mshahara harafu unapigavita chupi za mitumba, hujiulizi kwanini mtu anajitoa mhanga uvaa chupi imevaliwa???? umasikini mlioupatia kwa miaka zaidi ya 50 ndo chanzo.
 
Chama kina taratibu zake, sasa mahakaman kuzuia taratibu za chama kufayika ni mtihani, wanachama tunaheshimu chama kuliko kitu kingine chochote.[/
ni makosa na thambi kushabikia chama cha siasa kama timu ya mpira , maana timu hata wakosee vipi mashabiki wake huendelea kuipenda!
hata watu wawili wakiwekeana makubaliano na mwishowe wasipoelewana bado mahakama itaingilia na kuamua kwa kuzingatia katiba ya nchi na hayo makubaliano yao na wao lazima watii ......
 
A blind pursuit of cheap popularity has nothing to do with revolution." ~ Nelson Mandela

Unataka cheap umaarufu, tena kikipofu pofu vile, mwenyekiti wetu ni mwenye maono na nguvu, kimbilia mahakama kama unakadi ya CDM tutaichukua tu, maana kadi hizo hatuzipewi mahakamani, kacheeze wenyeviti vichwa Nazi sio CDM
 
A blind pursuit of cheap popularity has nothing to do with revolution." ~ Nelson Mandela

Unataka cheap umaarufu, tena kikipofu pofu vile, mwenyekiti wetu ni mwenye maono na nguvu, kimbilia mahakama kama unakadi ya CDM tutaichukua tu, maana kadi hizo hatuzipewi mahakamani, kacheeze wenyeviti vichwa Nazi sio CDM

kweli ukipenda unakuwa kipofu...hongera mkuu lakini unasahau kuwa hata kuiba hatuibi mahakamani tunaiba mbali na mahakama lakini tunashitakiwa mahakamani.....put it in your sh.it head.
 
Back
Top Bottom