How and Why on earth, tuko kwenye struggle harafu unaleta technicalities, wewe lazima ni msaliti, hata msafiri mungu amemhurumia na mfungo, hata maliwatoni itakuwa yeye ZZK??? kama ni mwanaCDM anasubiri technicalies zake baada ya kukamiisha kaz ya ukombozi, ni kama kumtukana mandela kwa kuacha wanawake wakati mapambano na makabur yako peak, nani atakuelewa??? ONDOKA ZAKO na KIBURI CHAKO ETI MTU WA MWISHO KUTOKA CDM thubutu labda uweke ofisi zako mahakamani kwa usaidizi wa matumiz mabaya ya maahakama