Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Je ni sahihi mkristo kufunga ndoa mwezi huu wa ramadhani?
Maana miongoni mwa watu waliomchangia pesa ya harusi ni waislamu na waislamu muda huu wapo kipindi cha mfungo na hata baadhi ya wakristo nao wanawasindikiza waislamu katika ibada hii ya mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.
Hivyo kufunga harusi mwezi huu kunawanyima fursa wengi kuhudhuria kwenye hiyo harusi.
..............
Kutoa hoja kwamba harusi inafanyika usiku napo ni batili,shamra shamra zote zinaanzia tangu asubuhi.
Usiku ni kuhitimisha tu
Maana miongoni mwa watu waliomchangia pesa ya harusi ni waislamu na waislamu muda huu wapo kipindi cha mfungo na hata baadhi ya wakristo nao wanawasindikiza waislamu katika ibada hii ya mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani.
Hivyo kufunga harusi mwezi huu kunawanyima fursa wengi kuhudhuria kwenye hiyo harusi.
..............
Kutoa hoja kwamba harusi inafanyika usiku napo ni batili,shamra shamra zote zinaanzia tangu asubuhi.
Usiku ni kuhitimisha tu