Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
- #21
Bia je hujafikiria ,hilo?Haina kikwazo, sherehe/karamu hufanyika usiku mnene, watakula misosi muda huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bia je hujafikiria ,hilo?Haina kikwazo, sherehe/karamu hufanyika usiku mnene, watakula misosi muda huo
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Huu ndio ukenge. Kila kitu udini dini tu. Kama ulishindwa kugharamia gharama za harusi wewe na familia yako hadi ukachangisha watu subirie wafungulie ndio ufunge vinginevyo uwaandalie vyombo vya kubebea msosi ili wakale huko makwao wakati wa ifutar.
Shamrashamra za harusi zinaanzia tangu asubuhi,usiku huwa ni kuhitimisha tu.Wanahudhuria mbona. Sherehe ukumbini ni usiku.
Hivi kumbe waislam nao ni ruksa kunywa pombe? Sikuwahi kufahamu hiliYani uende kwenye harusi usiku kesho yake uendelee na funga ?
Unywe pombe upate hangover halafu kesho yake ufunge?
Kwani izo pombe inashindikana kunywa bila kwenda kwenye harusi? Suala la kufuata taratibu za mfungo ni maamuzi ya mtu tu haijalishi kaenda kwenye harusi au hajaendaYani uende kwenye harusi usiku kesho yake uendelee na funga ?
Unywe pombe upate hangover halafu kesho yake ufunge?
Sasa kama wakisikia harufu ya chakula tu wanakasirika na kuanza kutandika watu bakora kwa maelezo kuwa wanawaharibia mfungo kwa kuwatamanisha, ukiwapakulia hiyo mipilau na mikuku hata nyumbani itafika?vinginevyo uwaandalie vyombo vya kubebea msosi ili wakale huko makwao wakati wa ifutar.