Je, ni sahihi Mwanaume kuwa na umbile kama hili?

Je, ni sahihi Mwanaume kuwa na umbile kama hili?

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.

Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..

Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
 
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.

Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..

Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
anapapaswa huyo
 
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.

Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..

Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.

Mwisho wa Dunia sio mbali,, sodoma na gomora walianza hivi mwisho wake ilikuwa moto, soon moto utashuka kutoka mbinguni , ukiona haya jiandae , Yesu anarudi soon
 
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.

Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..

Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
Hiyo aliyovaa inasponji iliyoshonewa, anachofanya ni two in one workout
 
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.

Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..

Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
kwahiyo arusha atapokelewa na mwenyeji msambwanda mwenzake
 
Mwanaume huwezi tengeneza shepu ya kalio pasi na kuwa na walakini

Lazima kuna kitu unataka nacho kwa asilimia 0.1 tu ndio kinatofautiana na harakati za upinde, 99.9 lenu moja

Na hapo sijazungumzia kuhusu mtoa post, maana wamatumbi husema "birds of a feather flock together"
 
Yupo Arusha amewaletea namba 8 wanaume wenzake sijui anataka nini
 
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.

Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..

Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
Atakuwa analiwa huyu
Ni nani?
 
Back
Top Bottom