Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.