Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo arusha atapokelewa na mwenyeji msambwanda mwenzake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Arusha sehemu gani? Na kwann amechagua Arusha Nani kamualika?
Wabongo mnakuza sana mambo! Huyo jamaa anavaa magodoro kama strategy yake ya marketing kuwavuta kinadada wanaopenda kuwa na makalio makubwa...ila wabongo akili ndogo mnaamini huyo jamaa hayo matako ni yakeMwanaume huwezi tengeneza shepu ya kalio pasi na kuwa na walakini
Lazima kuna kitu unataka nacho kwa asilimia 0.1 tu ndio kinatofautiana na harakati za upinde, 99.9 lenu moja
Na hapo sijazungumzia kuhusu mtoa post, maana wamatumbi husema "birds of a feather flock together"
Kwa akili yako unadhani hayo ni makalio yake halisi? Huyo anavaa magodoro kuwapata kinadada wanaotaka makalio makubwaTangu nilivyomuona huyo jamaa mazoezi ya squats nimeyapiga chini, nowdays huwa nakiambia round kama 15,nakata tumbo toshaaa.
basi mwambie baada ya mazoezi avue magodoro tumtathiminiKwa akili yako unadhani hayo ni makalio yake halisi? Huyo anavaa magodoro kuwapata kinadada wanaotaka makalio makubwa
moto gani wewe acha umbea.Mwisho wa Dunia sio mbali,, sodoma na gomora walianza hivi mwisho wake ilikuwa moto, soon moto utashuka kutoka mbinguni , ukiona haya jiandae , Yesu anarudi soon
Ila we atanzania kaili hamna sasa unavotuuliza sisi kwan mtu anatengenezwa kiwandani???Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
Seat yake umeiona kweli ndo mana nauliza Mwanaume kuwa na seat hii ni sawa?Ila we atanzania kaili hamna sasa unavotuuliza sisi kwan mtu anatengenezwa kiwandani???
Au anaprintiwa
Tukuulize na ww
Ni sawa kwa mtu mzima kua na akili za kitoto hivi?
Sio muonekano tu hata tembea yake inaonyesha ni papaiWabongo mnakuza sana mambo! Huyo jamaa anavaa magodoro kama strategy yake ya marketing kuwavuta kinadada wanaopenda kuwa na makalio makubwa...ila wabongo akili ndogo mnaamini huyo jamaa hayo matako ni yake
Yes sio kosa Lake kuzaliwa na makarios makubwa ila ni kosa Lake kuvaa kipedo kuonesha hilo kalioKwenye suala la maumbile mimi sitaki kumkosoa mtu sababu maumbile tunazaliwa nayo. Hakuna anayechagua azaliwe na maumbile ya namna fulani.
Lakini, kama mtu amefanya surgery kubadili au kuongeza maumbile fulani huyo nitamkosoa.
Uko sahihi kabisa.Yes sio kosa Lake kuzaliwa na makarios makubwa ila ni kosa Lake kuvaa kipedo kuonesha hilo kalio
Sio Kwa hili Yako🤣Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
uongoWabongo mnakuza sana mambo! Huyo jamaa anavaa magodoro kama strategy yake ya marketing kuwavuta kinadada wanaopenda kuwa na makalio makubwa...ila wabongo akili ndogo mnaamini huyo jamaa hayo matako ni yake