MhuuuuuuKuweni makin, Energy Drink zimewaumua watu matako huko Uganda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MhuuuuuuKuweni makin, Energy Drink zimewaumua watu matako huko Uganda.
Asa wanaume wameingiaje hapo kwenye kutengeneza shepuJamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
Arusha sehemu gani? Na kwann amechagua Arusha Nani kamualika?Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
ChaiKuweni makin, Energy Drink zimewaumua watu matako huko Uganda.
Uoga wako tu.Tangu nilivyomuona huyo jamaa mazoezi ya squats nimeyapiga chini, nowdays huwa nakiambia round kama 15,nakata tumbo toshaaa.
MhuuuuUoga wako tu.
Mbona sie twapiga squat mia daily na hatujaumuka makalio!?
Mbona ata maziwa makubwa?😀 atakua anafilwaJamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
Don't believe everything you see you can take supplement and you can be physical stronger kama huyo wala usijidanganye ni mazoezi hvyo vidonge watu wengi wanakunywa think twice.Jamaa anaitwa Nkululeko Dlamini, almaarufu kama 'Nyawolomshini' ama King of Squats kutoka Africa ya kusini.
Amekuwa maarufu kwa kusaidia Wanawake na Wanaume kutengeneza shepu zao za makalio kwa kutumia mazoezi tu. Na kama haitoshi ametumia mazoezi hayo kutengeneza kalio lake na kuwa na shepu ambayo wanawake wengi wanaitamani kuwa nayo..
Atakuwepo Arusha leo kutuletea nyanshi jiandaeni sasa.
View attachment 3029701
Mateja wa Energy mmeanza kutoka shimoni.Chai