Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufilisika mkuuInategemea ungedokeza ishu yenyewe kwanza.
Je, umezaa pengine nje ya ndoa
Huna hela umefilisika
Una magonjwa
Una shido gani kwanzo tujue tuone uzito wake mengine kweli ya kiume mfano kama huna nguvu hawezi kumwambia atakusaidia kwanza wapi utapata mkongo lazima akusaidie usiende kimoko chali.
pole sana ikiwa mke wako ana mdomo mbona utakondeanaKufilisika mkuu
Sasa baba mkwe atakubali mwanae aishi na mtu aliyefirisika?Kufilisika mkuu
Uhakikishe unamfahamu vizuri moyo wake.Kufilisika mkuu
Ukweni kama hawanufaiki na ndoa ya binti yao hio ndoa haiwezi kudumuSasa baba mkwe atakubali mwanae aishi na mtu aliyefirisika?
Ukimwambia tu atamwambia mkewe na mkewe atamwambia mwanae. Hapo mama mkwe na mwanae wataanza kukusimanga na kumtafuta mbadala wako.
Mwanamke siyo ndugu yako,Wala wazazi wake siyo ndugu zako,lolote linalikutokea,wao haliwahusu. Watasikitika kinafiki kisha unaanza kuona rangi halisi ya ukweni!!
Mh sio kuhonga nimepeleka hela yangu kwenye biashara ya mazao alafu mtu kanitapeli,lakini wife alishanionya ila mimi nikasema nafanya,so nikimfata wife kumuambia ataanza kutake advantageUhakikishe unamfahamu vizuri moyo wake.
Na iwe umefilisika kwa sababu isije kuwa umehonga.
Du! Pole sana. Watakuja watu wa ushauri nasaha watakushauri!Kwa hiyo nifanyeje na nina deni linaninyima amani huwenda baba mkwe atanisaidia maana yeye analima korosho na ufuta huwenda anayo akiba.
pambana, maisha ndo yako hivyo, wakiume huwq tunakaza tuNatokaje sasa,maana sina hata dala mkuu,au nikopeshe mkuu
Huyu atolewe kwenye kundi la Generation Z. Amewaangusha sana!Aibu za mkeo umwambie mzazi wake?
Mnachekeshaga sana katika hiki kipengele hivi kwanini wake wakiwashauri jambo huwa mnaona kama hawajui lolote????Mh sio kuhonga nimepeleka hela yangu kwenye biashara ya mazao alafu mtu kanitapeli,lakini wife alishanionya ila mimi nikasema nafanya,so nikimfata wife kumuambia ataanza kutake advantage