Je, ni sahihi nikimwambia baba mkwe matatizo yangu lakini mke wangu (mwanae) asijue?

Je, ni sahihi nikimwambia baba mkwe matatizo yangu lakini mke wangu (mwanae) asijue?

Mnachekeshaga sana katika hiki kipengele hivi kwanini wake wakiwashauri jambo huwa mnaona kama hawajui lolote????

Yani mwanaume akikutana na mtu kaunta akampa ushauri ataubeba, atatekeleza kisha yanabuma anarudi kutia huruma, ni heri ashauriwe hata na mlevi, mke akikushauri unaona kama ana akili za kuvukia barabara tu..... Halafu hapa God huwa ni fundi mkifanyaga hivi wala huwa hayatiki

Pole sana, we na huyo mkwe mnaivana?? Yani mnaishi kiume?? Make kuna wakwe wengine nuksi.....

Akupige tafu ila hadi panya wa nyumbani kwake watajua, we na mkwe uhusiano wenu upo vipi???
Uhusiano wetu ni mzuri tu,na setimes huwa analalamika kwamba nikipata shida kwa nini simuambii yeye ambaye ni mwanaume mwenzangu badala yake napiga kimya.
SO mimi naona ni mtu ambaye anapenda nimshirikishe shida zangu kwa sababu yew ni mwanaume na anaexperience sana na haya maisha
 
Uhusiano wetu ni mzuri tu,na setimes huwa analalamika kwamba nikipata shida kwa nini simuambii yeye ambaye ni mwanaume mwenzangu badala yake napiga kimya.
SO mimi naona ni mtu ambaye anapenda nimshirikishe shida zangu kwa sababu yew ni mwanaume na anaexperience sana na haya maisha
Okay kama ni hivo sawa, kaa nae umshirikishe pole kwa changamoto.....

Siku nyingine msikilize na mkeo tunakuaga na mawazo na akili za msingi sana ni vile tu wengi wetu tumeamuaga kuwekeza kwenye ujinga zaidi ila sio kwamba hatuna akili.

Kwako Atoto 😁
 
Ni sahihi kumwambia Baba mkwe matatizo ya mkeo! Isipokuwa atalazimika kumwambia Mama yake,na Mama yake ataangalia jinsi ya kulitatua jambo hilo.
Nani kasema matatizo ya mke wangu ? Mbona hamsomi vizuri wakuu.
 
Kuhusu kukutunzia Siri Hilo sahau no matter ni la kiume au la namna Gani

NITE:SIRI UKISHINDWA KUITUNZA MWENYEWE NA KUAMUA KUMSHIRIKISHA MTU LAZIMA ITAVUJA TU UNAFIKIRI YEYE NI NANI HADI AITUNZE WAKATI WEWE TU UMESHINDWA.

Watu wengi Sana Huwa tunaamini wale tuliowaambia Siri zetu hawazitoi aisee ukweli ni kwamba walishazitoa isipokuwa tu hazijakufikia Bado 😂😂
 
Acha ujinga yaani uchukue mwanaume na Hela uchukue ???
 
Ukweni kama hawanufaiki na ndoa ya binti yao hio ndoa haiwezi kudumu
Mkuu,

Ukweni hata kama walikuwa wananufaika na ndoa ya mtoto wao. Siku ukitangaza kufirisika mambo yanageuka spontaneously, without your own Accord.

Kwa kukuonea aibu,Utavumiliwa siku chache tu,baada ya hapo wanaanza kukutembeza barabara ya vumbi na makorongo bila kujali umeshikia bomba au la!!
 
Mh sio kuhonga nimepeleka hela yangu kwenye biashara ya mazao alafu mtu kanitapeli,lakini wife alishanionya ila mimi nikasema nafanya,so nikimfata wife kumuambia ataanza kutake advantage
usiwaze kwanza kuhusu baba mkwe kumwambia mwanawe,

kua na uhakika kwanza atakusaidia ?

alafu tafuta namna nzuri umuelezee kilakitu kwamba mkeo alishakushauri ukafanya opposite, kwaiyo ajue pia usingependa mkeo ajue

yeye mwenyewe muelezee kwa namna ambayo ataona kama baba haina haja ya kumwambia binti yake
 
usiwaze kwanza kuhusu baba mkwe kumwambia mwanawe,

kua na uhakika kwanza atakusaidia ?

alafu tafuta namna nzuri umuelezee kilakitu kwamba mkeo alishakushauri ukafanya opposite, kwaiyo ajue pia usingependa mkeo ajue

yeye mwenyewe muelezee kwa namna ambayo ataona kama baba haina haja ya kumwambia binti yake
Nimekupata vyema mkuu
 
Back
Top Bottom