Dogo anasema na yeye aliunganishwa kesi ya murder ya mama yake ila Wajomba ndio walimpiganiaHuyu kelvin nimemsikiliza sana.
Nilichokiona dhahiri ni kwamba hajitambuwi mpaka sasa,tena anaongea kike kike tu.
Ukweli huyu kishalishwa matango pori.
Mauzauza ni mengi kwenye hiyo familia,mariam alichagua maisha anayoishi sasa kwa tamaa ya maliSasa hebu tueleze kwa kina je baada ya msiba wa erasto ni kweli miriam aliwatenga ndugu wa mume? Nani alitoa ile asilimia 40% ya wosia km hakuwa karibu nao? Na nimeona mahali kwamba eti alimua wifiye kwa kuwa alikuwa na documents za mali......Mali zipi hizo? Hizihizi zinazoonekana au zingine za Siri??
Wana uchu Wa Mali ya marehemu haswa, na walishapewa mgao Wao, watu tu hawajui, familia ya erasto ndo tatizo hapakwa jinsi familia ya akina msuya wanavyoonesha uchu wa mali bora mjomba alivyopewa kusimamia mali nadhani kwa miaka sita kusingebaki na mali, mijitu imepewa millions 400 bado imejawa na uchu,nawashangaa mnaosema dogo hajitambui kama ndivyo leo serikali ingeingilia mgogolo wa miaka sita bila dogo kusimama kujenga hoja hadharani.
wanaonekana tu mimi sijaona tuhuma mbaya kwa wajomba zaidi ya kuwambia wamejazana kwenye hotel,ila wangekuwa wao wangekuwa wamegawana hata watoto wangedhulumiwa mimi nasimama na wajombaWana uchu Wa Mali ya marehemu haswa, na walishapewa mgao Wao, watu tu hawajui, familia ya erasto ndo tatizo hapa
Hilo ni kwa familia yenu. Usi generalize. Umeshaambiwa Erasto alipewa kitalu cha Madini pamoja na hoteli na Baba yake kama kianzio cha maisha. Halafu unataka wajomba ndio waendeshe miradi. Jitathmini upya
Hiyo hotel unaifahamu? Kwa biashara ilivyosasa hiyo hotel haiwezi hata kujenda "self"ya kawaidaDogo kalishwa matangopori na mjomba, kisasi cha dogo ukiangalia kwa makini ni juu ya kesi ya mama yake kushikiliwa kidedea na ndugu wa upande wa baba..... Kwa 80% mali zina milikiwa na upande wa mama ambapo ndio upande dogo alipo egemea...
Mjomba nasikia kaporomosha jumba la ghorofa hapo sakina kwa hela anazo chuma hapo hotelin
Ndugu wa mama ndio ndugu halisi hawa wengine majina tu yanafananaDogo kalishwa matangopori na mjomba, kisasi cha dogo ukiangalia kwa makini ni juu ya kesi ya mama yake kushikiliwa kidedea na ndugu wa upande wa baba..... Kwa 80% mali zina milikiwa na upande wa mama ambapo ndio upande dogo alipo egemea...
Mjomba nasikia kaporomosha jumba la ghorofa hapo sakina kwa hela anazo chuma hapo hotelin
Sasa unakaa Australia huku mambo yanaharibikaKwenye mazungumzo pale inaonyesha dogo alikuwa anasoma Australia mjomba akamkatisha masomo akamrudisha bongo
Mimi naona huyu kijana Kelvin apunguze jazba aache mihemuko pindi wakutwanishapo na nduguze upande WA baba yake tena hao wajomba hawahusiki na chochote ktk Mali hizo hivyo asichanganye mambo pia maswala ya kesi asiyahusishe na chuki Kwa nduguze kwani Mahakama itaamua awe mpole mama anatuhumiwa tu kwani nao ni binadamu kupoteza ndugu wawili sio kidogo tena wote kuuawa kikatili akubari meza ya mazungumzo na kelvin aepuke kurudia hoja zake mara kwa mara za chuki dhidi za nduguze ,piakuu wa wilaya aanze kumtoa katika mazungumzo ya ugawaji wa mali mjomba Kwani hazimuhusu kabisa aendelee na shughuli zake asante
Sasa angefanyaje wakati dadake alikuwa analiwa[emoji41][emoji41][emoji41]Dogo kalishwa matangopori na mjomba, kisasi cha dogo ukiangalia kwa makini ni juu ya kesi ya mama yake kushikiliwa kidedea na ndugu wa upande wa baba..... Kwa 80% mali zina milikiwa na upande wa mama ambapo ndio upande dogo alipo egemea...
Mjomba nasikia kaporomosha jumba la ghorofa hapo sakina kwa hela anazo chuma hapo hotelin
Hyo familia hata kesi ikiisha na wakigawanya mali bado visasi vitaendelea. Mtoto wa marehemu Anety alieshuhudia damu zikitiririka toka chumbani kwa mama ake asubui na akija kujua aliefanya auliwe ni aunt yake lazima chuki iwepo na itaendelea kuwepo. Cha msingi ni kumuomba Mungu awasaidie
KivipiNimetazama clips youtube na nimegundua huyo kijana wa marehemu Msuya ni mjinga!
Ha ha haaaa watoto wa ushuani vichwa vinakuwaga vitupu
Miaka 23 anatema pumba kiasi hicho?
Ha ha haaaa watoto wa ushuani vichwa vinakuwaga vitupu
Licha ya ukweli kwamba katika familia nyingi kwa uchunguzi wangu ndugu wa mama ndio huwa wanaupendo na wanajali sana, kijana wa miaka 23 ni mkubwa sana na anapaswa kujua ni yapi ya kusema na yapi ya kuweka moyoni na kunyamaza nayo. Hapo kweli kabisa naamini hawa watoto wa mayai na soseji uwezo wa kufikiri ni changamoto. |
kwa jinsi familia ya akina msuya wanavyoonesha uchu wa mali bora mjomba alivyopewa kusimamia mali nadhani kwa miaka sita kusingebaki na mali, mijitu imepewa millions 400 bado imejawa na uchu,nawashangaa mnaosema dogo hajitambui kama ndivyo leo serikali ingeingilia mgogolo wa miaka sita bila dogo kusimama kujenga hoja hadharani.
We[/QUOTE]We ndo kilaza Namba Moja Fala wewe, tu namjua erasto kabla hajawa bilionea fala wewe, sina haja ya kuskiliza clip cz nalifahamu sakata lote. Dada zake erasto wana uchu na mali ya kaka yao na ndo wanawashauri vibaya wazazi. Unamwita mtoto wa mwenzio punga wakati we ndo punga. UOTE="Mrs Bishanga, post: 33229645, member: 154080"]
Achana na huyo kilaza ndo wengi walojajazana kule youtube ambao pamoja na kusikiliza zile clip bado hawajaelewa lolote
Mtoto kapewa dozi za sumu za kuwachukia ndugu za upande wa Babaye mpaka anashindwa kuongea cha maana.Mimi naona huyu kijana Kelvin apunguze jazba aache mihemuko pindi wakutwanishapo na nduguze upande WA baba yake tena hao wajomba hawahusiki na chochote ktk Mali hizo hivyo asichanganye mambo pia maswala ya kesi asiyahusishe na chuki Kwa nduguze kwani Mahakama itaamua awe mpole mama anatuhumiwa tu kwani nao ni binadamu kupoteza ndugu wawili sio kidogo tena wote kuuawa kikatili akubari meza ya mazungumzo na kelvin aepuke kurudia hoja zake mara kwa mara za chuki dhidi za nduguze ,piakuu wa wilaya aanze kumtoa katika mazungumzo ya ugawaji wa mali mjomba Kwani hazimuhusu kabisa aendelee na shughuli zake asante