Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Imekuwa kama kasumba sasa. Mwananchi akipata tatizo kwenye mahospital ya wilaya ambazo ziko na hospital za rufaa na kisha kuandikiwa rufaa huwa anaambiwa kuchangia mafuta ili mgonjwa apelekwe.
Polisi nao ukienda kuripoti tukio la uhalifu ili waende eneo la tukio huwa wanahitaji mafuta ya usafiri.
Je, serikali huwa haitengi fungu la mafuta?
Polisi nao ukienda kuripoti tukio la uhalifu ili waende eneo la tukio huwa wanahitaji mafuta ya usafiri.
Je, serikali huwa haitengi fungu la mafuta?