Ni sahihi kabisaaaaa.
Kama tunachangia kuanzisha ujenzi wa kituo husika sisi wenyewe kisha ndio tunaiita serekali ije kuweka jiwe la msingi, tutashindwaje kuchangia mafuta ya chombo ambacho tulipewa kama zawadi kwa shida zetu wala hatukuomba gari ktk uwekaji wajiwe la msingi.
Polisi wao inategemea na taarifa waliopelekewa. Kawaambie kuna Jambazi au mtu anataka kuuliwa uone kama watakudai mchango wa mafuta, lakini unaenda Polisi taarifa yako ni fumanizi au mifugo shambani, LAZIMA UCHANGIE WESE TU.
Wao wakutafutie bwana shamba, bwana mifugo mtendaji wa kata na kijiji, kisa tu umetiliwa mifugo shambani, Khaaa!!!!!! Acheni basi.