Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hili
Nakupigia tuonane mara moja hapo mtaa wa Congo....Nipo k,koo ila badae takua mbagala
Mkuu huyo meme mdangaji mwanamke anae kuhitaji haku wekehi utaratibu wa kumpatia pesa wala hawezi kutamka neno ni hudumie.Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hili
Matumizi mabaya ya neno binti!!! Usimfananishe binti na huyo Malaya.Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hil
🤣🤣🤣Mkuu 60k nayo ni hela?Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hili
Naunga mkono hoja, wanawake ni uwalo isipokuwa mama zetu tuMdogo wangu wanawake NI Kama mavi ya NG'OMBE hawajui wanataka nini either yakauke au yaendelee kuwa mabichi
Hiyo 60k mtumie b mkubwa utapata baraka
Whaooooo .Nakupigia tuonane mara moja hapo mtaa wa Congo....
Nb: nna miaka 40
Yo fav age
Asee kupenda kazi kwelidogo toa huduma Acha kulalamika si umeshapenda bana
Nimezingatia ushauriMpe mimba kabla ya hiyo 60K, mwanamke hakupangii cha kumpa hasa kama unampenda kweli automatically utajikuta unamhudumia na ku-cover gharama za mahitaji yake. Huyo anaekupangia kuwa makini usijevuna mabua.
,[emoji51][emoji51][emoji51] seriouslyUtiyai yake unaitaka pesa kutoa aaaah
Matumizi madogo madogo60k ni bili ya nini shemegi, kodi? Gas? Kusuka? Viuno? Au kasema ya nini.....?
Kabla hatujashauri uitoe au usitoe
Unasemaje hajui anataka nini wakati ipo wazi kabisa anataka 60K Kila mwezi?Mdogo wangu wanawake NI Kama mavi ya NG'OMBE hawajui wanataka nini either yakauke au yaendelee kuwa mabichi
Hiyo 60k mtumie b mkubwa utapata braka
Kwani umpa mimba ndio umemkomoa au na wewe unajiingiza kwenye gharama?Mpe mimba kabla ya hiyo 60K, mwanamke hakupangii cha kumpa hasa kama unampenda kweli automatically utajikuta unamhudumia na ku-cover gharama za mahitaji yake. Huyo anaekupangia kuwa makini usijevuna mabua.
Ukiachana na nyapu nini ana offer kwako?Wapwa natumaini ni wazima wa afya na pia poleni na majukumu ya kulijenga
Mi kijana wenu katika harakati nimekutana binti mmoja nimetokea ku fall in love tunapendana sana kuhusu kumuhudumia na muhudumia fresh Tu Lakini yeye amepanga Lakini tulipofikia Sasa anadai Kila For month nimtumie 60K Kwa shida zake ndogo ndogo Ishue ni kwamba sijamuoa sijamvisha Pete na pia amepanga ni mfanyanya biashara .
Swali je ni sahihi Kuanza kuingia hizi gharama maana kama nitaanza kulipa 60K Kuna gharama zingine zitakuja automatically
Binafsi naona kama ni bado sana
Naombeni ushauri kwenye hili
So unakili kabisa relationship imeshakuwa ni biasharaMbona yupo cheap hivyo...elfu 60??
Mpe ni hela ndogo sana kulinganisha na matumizi ya mwanamke....ukipenda sex na kuhudumia uwe tayari