Je, ni sawa kulipia mahari yote hii ikiwa posa imeshatolewa 500k?

Je, ni sawa kulipia mahari yote hii ikiwa posa imeshatolewa 500k?

Malkia wangu

Senior Member
Joined
May 1, 2024
Posts
143
Reaction score
265
Wadau mdogo wangu anataka kuoa ila mahari ni kubwa kuliko uwezo wake , yeye ni tingo TU. Hapo posa walishachukua 500k, najiuliza au hawamtaki dogo au wanakomoa?

Screenshot_20241122-155639.png
 
Wote wabena hao halafu Kijiji kimoja
Achana iyo mke mzee suti za kaka sijui dada mambo yakiwaki hayo😂😂😂😂 yani iyo mahari nikiangalia naona kama sio jambo serious!!!! Mahari milioni1 alafu ng’ombe na zaga zingine kibao😂😂😂😂
 
Hayo ni mambo ya Mila na tamaduni ongea Mshenga aongee nao au huyo Binti ashauriane na mdogo wako waone watayajenga vipi...

By the way wewe uliona ngapi ndio sahihi ?

Sababu tukishaweka monetary value nadhani hakuna pesa yoyote ambayo ni value ya binadamu (hususan binadamu uliyempenda)
 
Hayo ni mambo ya Mila na tamaduni ongea Mshenga aongee nao au huyo Binti ashauriane na mdogo wake waone watayajenga vipi...

By the way wewe uliona ngapi ndio sahihi ?

Sababu tukishaweka monetary value nadhani hakuna pesa yoyote ambayo ni value ya binadamu (hususan binadamu uliyempenda)
Kama ningelikuwa ni mzazi wa uyo Binti , ningemwambia alete kiasi alichonacho kama shukrani TU na kufuata Mila za Africa. Maana hakuna pesa yenye thamani ya mwanangu na kamwe siwezi kutafuta utajiri kwa kumuuza mwanangu .
 
Achana iyo mke mzee suti za kaka sijui dada mambo yakowaki hayo😂😂😂😂 yani iyo mahari nikiangalia naona kama sio jambo serious!!!! Mahari milioni1 alafu ng’ombe na zaga zingine kibao😂😂😂😂
Dogo kashajikatia tamaa maana wanamkomoa
 
Wadau mdogo wangu anataka kuoa ila mahari ni kubwa kuliko uwezo wake , yeye ni tingo TU. Hapo posa walishachukua 500k, najiuliza au hawamtaki dogo au wanakomoa?

View attachment 3158790
Mbona kama wanataka kufungua mnada/au soko dogo mzee🤣mahitaji yote hayo

1.je huyo demu ni bkira
2.je upo vizuri kiuchumi

Ushauri wa busara
👉Waambie wakukope utawaletea nyingine Baadae. Hiyo ndo imetoka(kidogo kidogo)
👉Chunga sana usikope kwa ajili ya kutimiza hivo vitu
👉Usifanye vitu ku-impress watu huku wewe ndo unaumia kumbuka hauoi ukoo unamuoa mtu mmoja(mkeo)
👉Ata maandiko yanasema iweni na kiasi
👉Jipange

Ushauri wa kijinga
👉Mpige mimba akiwa huko huko kwao🤣hadi watoto watatu watamuachia wenyewe
👉Tulishakubaliana mwanamke hapewi chochote zaidi ya penis na mimba🤣
 
Back
Top Bottom