Malkia wangu
Senior Member
- May 1, 2024
- 143
- 265
Wadau mdogo wangu anataka kuoa ila mahari ni kubwa kuliko uwezo wake , yeye ni tingo TU. Hapo posa walishachukua 500k, najiuliza au hawamtaki dogo au wanakomoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wabena hao halafu Kijiji kimoja😂😂😂😂😂😂 mkuu hio ni mahari au ni maandalizi ya kitchen part?😂😂😂😂 kabila gani hii unaenda kuoa?
Mahari mkuu😂😂😂😂😂😂 mkuu hio ni mahari au ni maandalizi ya kitchen part?😂😂😂😂 kabila gani hii unaenda kuoa?
Achana iyo mke mzee suti za kaka sijui dada mambo yakiwaki hayo😂😂😂😂 yani iyo mahari nikiangalia naona kama sio jambo serious!!!! Mahari milioni1 alafu ng’ombe na zaga zingine kibao😂😂😂😂Wote wabena hao halafu Kijiji kimoja
Kama ningelikuwa ni mzazi wa uyo Binti , ningemwambia alete kiasi alichonacho kama shukrani TU na kufuata Mila za Africa. Maana hakuna pesa yenye thamani ya mwanangu na kamwe siwezi kutafuta utajiri kwa kumuuza mwanangu .Hayo ni mambo ya Mila na tamaduni ongea Mshenga aongee nao au huyo Binti ashauriane na mdogo wake waone watayajenga vipi...
By the way wewe uliona ngapi ndio sahihi ?
Sababu tukishaweka monetary value nadhani hakuna pesa yoyote ambayo ni value ya binadamu (hususan binadamu uliyempenda)
Point kubwa hiiMahari ni zawadi Kwa anaeolewa sio malipo Kwa wazazi Sasa debe la maharage kwani walikuwa wanakula ugali bila mboga😀😀
Neno lako ni muhimu kiongoziNilitaka kutia neno ila basi.
Dogo kashajikatia tamaa maana wanamkomoaAchana iyo mke mzee suti za kaka sijui dada mambo yakowaki hayo😂😂😂😂 yani iyo mahari nikiangalia naona kama sio jambo serious!!!! Mahari milioni1 alafu ng’ombe na zaga zingine kibao😂😂😂😂
Mbona kama wanataka kufungua mnada/au soko dogo mzee🤣mahitaji yote hayoWadau mdogo wangu anataka kuoa ila mahari ni kubwa kuliko uwezo wake , yeye ni tingo TU. Hapo posa walishachukua 500k, najiuliza au hawamtaki dogo au wanakomoa?
View attachment 3158790
Yan hapa unafungua duka la reja reja na jumla🤣na muwaite TRA wakachukue kodi yao. Kitendo cha kulia Lia it means hamna hela wazeeWadau mdogo wangu anataka kuoa ila mahari ni kubwa kuliko uwezo wake , yeye ni tingo TU. Hapo posa walishachukua 500k, najiuliza au hawamtaki dogo au wanakomoa?
View attachment 3158790
Upendo una nguvu kuliko mautiWadau mdogo wangu anataka kuoa ila mahari ni kubwa kuliko uwezo wake , yeye ni tingo TU. Hapo posa walishachukua 500k, najiuliza au hawamtaki dogo au wanakomoa?
View attachment 3158790