Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 554
- 848
Ni sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kama mwenza ni 18-20???
Wenzenu huko ulaya na America wanafundishana mambo ya saving and investment..huku Africa watu wanafundishana styles za ngono.
HAKUNA tatizo lolote....unamwambia mpenzi wako unataka style fulani na akikuuliza umejifunzia wapi unamuonyesha clip ya simu. Kama hataki kukupa isiwe ishu, hii dunia ya utandawazi. Wewe kama demu nitafute nitakusadia tu.Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?
1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Mzee wa yudism unakwama wapi? Hao wanaofundishana saving hawat.omba.ni?Wenzenu huko ulaya na America wanafundishana mambo ya saving and investment..huku Africa watu wanafundishana styles za ngono.
Popo kanyea mbingu ipoje hii?Kwani kuna style mpya jamani au zaidi ya hizi tulizozizoea [emoji1787][emoji1787]
Subir siku akufundiahe ndo utaju ni vizuri au vibayaJe, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?
1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Baba P hili swali langu kweli au la mama pPopo kanyea mbingu ipoje hii?
Nipo shem. Majukumu tuu yamekuwa mengi. I hope your doing good.Baba P hili swali langu kweli au la mama p
Halafu mbona umekuwa adimu hivi
Styles ambazo zimezoeleka niKwani kuna style mpya jamani au zaidi ya hizi tulizozizoea [emoji1787][emoji1787]
I'm doing good shem [emoji120]Nipo shem. Majukumu tuu yamekuwa mengi. I hope your doing good.
EeeeenhStyles ambazo zimezoeleka ni
...kifo cha mende
...mbuzi kagoma kwenda
...kalia kibao cha mbuzi.
Sasa zimeibuka hizi
..popo kanyea mbingu
..sukuma gari bovu
..dada kaa kwenye bembea
Hakuna tatizo kwani hata hiyo/hizo mnazotumia hujamfundisha wewe.Hivyo weka "chata" yako hata mkiachana itakuwa ukumbusho!Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?
1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Ni sawa,mkuu.kama hajui unatakiwa umfundishe,asipokuelewa unamtafutia mwalimu mwingine,akifaulu,utafaidika mkuu.Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?
1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Uwe makini wakati wa kumwambia. Tegemea swali hili: "umezisikia wapi?"Eeeeenh
Basi nitamwambia shem wako anifundishe
Nitamwambia tuna kungwi wetu anatufundisha kila style si hapo sawaUwe makini wakati wa kumwambia. Tegemea swali hili: "umezisikia wapi?"
Haya.Nitamwambia tuna kungwi wetu anatufundisha kila style si hapo sawa