Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?

Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?

Wenzenu huko ulaya na America wanafundishana mambo ya saving and investment..huku Africa watu wanafundishana styles za ngono.
 
Vipi kama mwenza ni 18-20???

Unazingatia nini kwanza kujua hii ni style mpya?

Tuseme upo na huyo kiumbe kiasi kwamba anajua kabisa style zako zimeshakwisha, hii ya sasa ni mpya na itakuwa umeikwapua sehemu!
 
Wenzenu huko ulaya na America wanafundishana mambo ya saving and investment..huku Africa watu wanafundishana styles za ngono.

Bongo tunafundishana namna ya kukuza na kurefusha mushedede!
 
Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?

1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
HAKUNA tatizo lolote....unamwambia mpenzi wako unataka style fulani na akikuuliza umejifunzia wapi unamuonyesha clip ya simu. Kama hataki kukupa isiwe ishu, hii dunia ya utandawazi. Wewe kama demu nitafute nitakusadia tu.
 
Wenzenu huko ulaya na America wanafundishana mambo ya saving and investment..huku Africa watu wanafundishana styles za ngono.
Mzee wa yudism unakwama wapi? Hao wanaofundishana saving hawat.omba.ni?
 
Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?

1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Subir siku akufundiahe ndo utaju ni vizuri au vibaya
 
Kwani kuna style mpya jamani au zaidi ya hizi tulizozizoea [emoji1787][emoji1787]
Styles ambazo zimezoeleka ni
...kifo cha mende
...mbuzi kagoma kwenda
...kalia kibao cha mbuzi.


Sasa zimeibuka hizi
..popo kanyea mbingu
..sukuma gari bovu
..dada kaa kwenye bembea
 
Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?

1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Hakuna tatizo kwani hata hiyo/hizo mnazotumia hujamfundisha wewe.Hivyo weka "chata" yako hata mkiachana itakuwa ukumbusho!
 
Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?

1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Ni sawa,mkuu.kama hajui unatakiwa umfundishe,asipokuelewa unamtafutia mwalimu mwingine,akifaulu,utafaidika mkuu.
 
Back
Top Bottom