Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi wakeKuoa ngumu,nani atapokea mahari
🤠🤠🤠 Ndio uwezo wake sasa ulipo mikono acha kuandika.. Utafutwa kaziHahaha nimeandika sioni CHA MAANA anachofanya
Ila naona anachofanya kwenye tozo 😃
🤠🤠🤠 Ndio uwezo wake sasa ulipo mikono acha kuandika.. Utafutwa kazi
Kwa maelezo zaidi 👇👇Kwani mama nae ana udikteta kama wa mwenda zake??🙆♀️
Yani ukiongea kidogo unachukuliwa na wasiojulikana 🙄
Hebu ninyamaze
Baada ya hapo utajua yeye na wewe ni ndugu au laahAkikubali ntashukuru
Kumbe nyani wanatumia simu siku hiziVile nakatiza mitaa ya Rwagasore baada kuona kijana wa ovyo humu ndani
View attachment 2348511
Kitu dejavuu🤣Hivi nilishasoma huu uzi jana au ni mambo ya dejavuu??
Baba yake si yupo kama hayupo mpe hata mjomba wake.Kuoa ngumu,nani atapokea mahari
Demi toa neno kijana kapagawa na nduguye ila binamu anafaa kuoa bila shaka.Kitu dejavuu[emoji1787]
Baba yake ni kaka wa bibi so bibi atapata mgao wa mahari toka kwangu mjukuu wakeBaba yake si yupo kama hayupo mpe hata mjomba wake.
Fanya kweli mbona inaruhusiwa asipoteze muda kabla ya mabaharia wa nchi kavu hawajatia doa kwa kuvamia kambi.Baba yake ni kaka wa bibi so bibi atapata mgao wa mahari toka kwangu mjukuu wake
Dah aisee mi nimeshindwa kumshauri..ni vigumu sana kumshauri mtu mwenye nyege zake, akili yake imeshatamani...tunapoteza muda😀Demi toa neno kijana kapagawa na nduguye ila binamu anafaa kuoa bila shaka.
Kichwa cha chini kikisema yes no body can say noDah aisee mi nimeshindwa kumshauri..ni vigumu sana kumshauri mtu mwenye nyege zake, akili yake imeshatamani...tunapoteza muda😀