Hapo akajiona kapigana jihadi😝😝😝Kikubwa dereva asiweke mahubiri au mawaidha ya kuuudhi Imani fulani..nyimbo, mahubiri ya kikristo au mawaidha ya kiislam Ni mazuri....Kuna dereva mmoja wa Bus BM Kutoka Arusha dar Tena luxury aliweka mawaidha ya kumponda yesu haikuwa sawa..angetafuta mawaidha mazuri general watu wangebarikiwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huwa waanaamini halitapinduka wala kupata ajari ni muendelezo wa unafiki wa Mwafrika.Kuna baadhi magari ya abiria unakuta wanaweka mambo ya dini kwenye redio zao tena kwa sauti kubwa je hii ni sawa maana mule mpo watu dini tofauti pia wengine awana dini pia wengine awaamini kinachoongelewa kwa wakati huo hii naona kama haiko sawa
Ile kaulimbiu: ^Mteja ni Mfalme^ haiaplai, kwani!???Dereva ndio anaamua awake nyimbo ama muvi gani
^yenye maadili^ 100%Ukisema kuhusu kuweka nyimbo za dini kwenye usafiri wa umma kuwa sio sawa nahisi hata nyimbo za kidunia nazo sio sawa,,, ukifata kila takwa la mtu binafsi kwenye mambo ya umma basi utakuta kila kitu hakipo sawa.
Hivyo basi kwenye usafiri wa umma piga miziki yoyote yenye maadili haina shida.
Siku ukipata ajali ndipo utakumbuka manufaa ya dini unazoziponda. Akili umeweka wapi!???Huwa waanaamini halitapinduka wala kupata ajari ni muendelezo wa unafiki wa Mwafrika.
Hauwezi kumjua Mungu bila dini.vinginevyo utaenda abudu mizimu na maweHasa mwendokasi wanaweka sana hawa matapeli akina Mwamposa na Rashiiiid Gwajima na wenzake. Dini ni uzezeta hasa pambana kumuomba mungu wako na saidia wasiojiweza na wagonjwa.
Sasa gari bovu alafu unaweka nyimbo za dini kulinusulu si ukichaa huo.Siku ukipata ajali ndipo utakumbuka manufaa ya dini unazoziponda. Akili umeweka wapi!???
Afadhali ingekuwa hivyo kwamba ajali zote hutokana na magari kuwa mabovu--tungekuwa na relatively few accidents. Achana na takwimu za akili yako mbovu.Sasa gari bovu alafu unaweka nyimbo za dini kulinusulu si ukichaa huo.
Mlimfanyaje dereva? Au mlibaki mnagugumia tu? [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kikubwa dereva asiweke mahubiri au mawaidha ya kuuudhi Imani fulani..nyimbo, mahubiri ya kikristo au mawaidha ya kiislam Ni mazuri....Kuna dereva mmoja wa Bus BM Kutoka Arusha dar Tena luxury aliweka mawaidha ya kumponda yesu haikuwa sawa..angetafuta mawaidha mazuri general watu wangebarikiwa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app