Je ni sawa mwanamke kuwa na vinyweleo vingi mikononi kama mwanaume?

Kweli kila mtu ana kitu akipendacho mm mwanamke awe na vinyweleo harafu ndo atoke kuoga vimelala mwilini yaaan anaweza juta kunivulia nguo maana huo mzuka nitakao kua nao hiiii bagosha
 
Kweli kila mtu ana kitu akipendacho mm mwanamke awe na vinyweleo harafu ndo atoke kuoga vimelala mwilini yaaan anaweza juta kunivulia nguo maana huo mzuka nitakao kua nao hiiii bagosha
Vya mikononi? Kama vya mwanaume rijali akikunja shati?

Kuna tatizo mahala
 
Mkuu unanikumbusha binti mmoja wa kihindi na kiaribu Fa,xxx. Alikuwa na vinyweleo tumboni! Acha tu, raha sana kuvichezea.
 
Hivi humu mbona naona ni kama Kuna maswali ya ajabu sana Leo au Mimi ndio wa ajabu!!!!

Mwingine kauliza



Hivi mwanaume anapata nini kwenye ndoa kiasi kwamba ajutie kutokuwa na ndoa ,je ndoa Kwa Dunia hii ni muhimu kuliko pesa


Huyu naye kaja na maswali ya kimaumbile akati anajua Duniani hakuna kiwanda Cha kutengeneza watu

Ngoja ni-logoff
 
Mbona hiyo ni turn on matata sana, sema sasa wenye vinyweleo namna hiyo wanakuwa na vinyweleo hadi..........!
 
Mkuu unanikumbusha binti mmoja wa kihindi na kiaribu Fa,xxx. Alikuwa na vinyweleo tumboni! Acha tu, raha sana kuvichezea.
Hatari sana Mkuu,

Pamoja na Uzee huu nilionao nikiona Binti yuko na hivyo vinyweleo lazima nishtuke.

Ni sawa uone mrembo amevaa Chain ama shanga kwenye kiuno vile anahamasisha 🏃🏃🏃
 
Aiseeee, basi tunatofautiana sana sana sana.

Mimi hizo nywele zinanikosesha hata hamu ya kula hasa za mikononi.
Wanasema mapenzi upofu, ila to be honest hao wenye hizo mambo wanavutia sana.

Ukipata binti kigoli, unaweza kuhairisha shughuli za shamba kwasisi Wazee 🤗
 
A relevant observational fact:

Sijui kwanini watanzania wengi hupenda kuweka irrelevant details[taarifa zisizohusiana na mada husika].

Mfano Hapa mtoa mada;
Mahala unapoishi, kuwa sehemu fulani kikazi na hukai sana vinahusiana nini na Kutaka kujua kwanini wanawake wana vinyweleo vingi mikononi?

*Nimefika mkoa wa Iringa, nimekutana na wanawake wawili wana vinyweleo mikononi kama wanaume. Je, hali hii isiyo kawaida ina sabibishwa na nini? Je, hupatikana maeneo yapi zaidi? maana DSM sijawahi ona.
 
Ni changamoto za kimaumbile kwenye hormones. Ni kama tu wanaume wengi sura ni za kike kabisa, au kutokua na ndevu kabisa.
 
Sas izo si ni issue za genetics ata dar wapo
 
Aiseeee, basi tunatofautiana sana sana sana.

Mimi hizo nywele zinanikosesha hata hamu ya kula hasa za mikononi.
Wewe ni bonge la mshamba. Piga 911 acha kukenua mimeno.

Kammon
 
Kuna mrembo nimekutana nae bonge la pisi kali lakini cha ajabu eti kaacha ndevu ziwe kubwa hataki kunyoa nikabaki namshangaa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…