Je, ni Siasa za sasa za Tanzania ndizo zinawakwaza IMF na WB hadi hawatujali tena Watanzania au kuna 'Kirusi' Kimewakwaza sana?

Je, ni Siasa za sasa za Tanzania ndizo zinawakwaza IMF na WB hadi hawatujali tena Watanzania au kuna 'Kirusi' Kimewakwaza sana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mpaka leo najiuliza hili Swali ni kwanini Taasisi Kubwa na Muhimu kabisa za Masuala ya Fedha Duniani (Ulimwenguni) za WB (Benki ya Dunia) na IMF (Shirika la Fedha Duniani) kwa Siku za karibuni na niweke tu wazi tokea 2016 hadi huu wa 2020 wamekuwa ' Wazito ' mno Kuisaidia Tanzania kwa Pesa (Fedha) tofauti na ilivyokuwa huko nyuma?

Je, ni Siasa za Tanzania labda ndizo ' zimewakwaza ' hivi au labda yawezekana kukawa na ' Kirusi ' kisicho na Jina ambacho kipo Tanzania na labda hata Sisi Watanzania hatukijui ndicho kimewakera na kuwakatisha tamaa hivi ya Kutusaidia tofauti na nchi zingine kadhaa za Afrika kama za Rwanda, Uganda, Ethiopia, Ghana ambazo zinapewa kila wakati?

Tumewakosea nini WB na IMF?

Nawasilisha.
 
Mkuu WB wameshaidhinisha USD 500 million mkuu juzi tu au umesahau tena zile Zitto na Wanaharakati walishindwa kuzizuia pamoja na kufunga safari kwenda US!

Uko sahihi ila ni kwanini hizo Hela wanazotupa huwa wanazitoa kwa ' Mbinde ' sana wengine Kwanza twende Vijijini Kwetu tukatambike kwa Mabibi, Mababu na tukeshe Ziwani tukitizama Samaki au Mbugani tukipiga Mbizi katika Mawe makubwa makubwa?

Huko nyuma WB na IMF walikuwa wakiipenda sana Tanzania yetu ila kwa sasa Uhusiano wetu nao umekuwa ni wa ' Kimazabe ' mno. au Wewe hulioni hili? Hebu lifuatilie kwa umakini wako tafadhali.
 
Uko sahihi ila ni kwanini hizo Hela wanazotupa huwa wanazitoa kwa ' Mbinde ' sana wengine Kwanza twende Vijijini Kwetu tukatambike kwa Mabibi, Mababu na tukeshe Ziwani tukitizama Samaki au Mbugani tukipiga Mbizi katika Mawe makubwa makubwa? Huko nyuma WB na IMF walikuwa wakiipenda sana Tanzania yetu ila kwa sasa Uhusiano wetu nao umekuwa ni wa ' Kimazabe ' mno. au Wewe hulioni hili? Hebu lifuatilie kwa umakini wako tafadhali.
Hayo ni maoni yako nayaheshimu ila WB wametupatia Mkopo pia African Developing Bank imekuwa ikitupa mikopo kila mara hivyo so mbaya tukianza kujitegemea Wafrika wenyewe!
 
Nakumbuka walivyo tupiga pini kipindi cha miaka ya Mwalimu na Mwinyi, mzee Mkapa alifanya kazi kubwa sana kuujenga msingi wa uchumi imara na mahusiano mema na hawa watu wa jumuiya ya kimataifa. Sasa huyu mkemia sijui anaipeleka wapi nchi hii.
 
Mpaka leo najiuliza hili Swali ni kwanini Taasisi Kubwa na Muhimu kabisa za Masuala ya Fedha Duniani ( Ulimwenguni ) za WB ( Benki ya Dunia ) na IMF ( Shirika la Fedha Duniani ) kwa Siku za karibuni na niweke tu wazi tokea 2016 hadi huu wa 2020 wamekuwa ' Wazito ' mno Kuisaidia Tanzania kwa Pesa ( Fedha ) tofauti na ilivyokuwa huko nyuma?

Je, ni Siasa za Tanzania labda ndizo ' zimewakwaza ' hivi au labda yawezekana kukawa na ' Kirusi ' kisicho na Jina ambacho kipo Tanzania na labda hata Sisi Watanzania hatukijui ndicho kimewakera na kuwakatisha tamaa hivi ya Kutusaidia tofauti na nchi zingine kadhaa za Afrika kama za Rwanda, Uganda, Ethiopia, Ghana ambazo zinapewa kila wakati?

Tumewakosea nini WB na IMF?

Nawasilisha.

yani hawa unao wataja ni juzi tuu wamemwaga mapesa sijui wewe ulikuwa wapi
hahahaha


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Mkuu WB wameshaidhinisha USD 500 million mkuu juzi tu au umesahau tena zile Zitto na Wanaharakati walishindwa kuzizuia pamoja na kufunga safari kwenda US!
Hizo zitatolewa Kama matone ya drip nazo unazisifu? Hizo dola 500m zigawanye kwa 5 kabla ya kumnanga Zitto!
 
Nakumbuka walivyo tupiga pini kipindi cha miaka ya Mwalimu na Mwinyi, mzee Mkapa alifanya kazi kubwa sana kuujenga msingi wa uchumi imara na mahusiano mema na hawa watu wa jumuiya ya kimataifa. Sasa huyu mkemia sijui anaipeleka wapi nchi hii.
Siku hizi tuna Benki ya Afrika mkuu! Hatubembelezi sana ndiyo maana juzi mwametupa USD 500m za Elimu pia kumbuka mradi wa barabara za mijini zinatengenezwa kwa pesa za WB inaonekana you are not informed mkuu!
 
Siku hizi tuna Benki ya Afrika mkuu! Hatubembelezi sana ndiyo maana juzi mwametupa USD 500m za Elimu pia kumbuka mradi wa barabara za mijini zinatengenezwa kwa pesa za WB inaonekana you are not informed mkuu!
Hao jamaa ni wajanja sana, hata siku moja hawawezi kukata kilakitu, wanatumia mbinu za positive na negative reinforcement.
 
Mpaka leo najiuliza hili Swali ni kwanini Taasisi Kubwa na Muhimu kabisa za Masuala ya Fedha Duniani (Ulimwenguni) za WB (Benki ya Dunia) na IMF (Shirika la Fedha Duniani) kwa Siku za karibuni na niweke tu wazi tokea 2016 hadi huu wa 2020 wamekuwa ' Wazito ' mno Kuisaidia Tanzania kwa Pesa (Fedha) tofauti na ilivyokuwa huko nyuma?

Je, ni Siasa za Tanzania labda ndizo ' zimewakwaza ' hivi au labda yawezekana kukawa na ' Kirusi ' kisicho na Jina ambacho kipo Tanzania na labda hata Sisi Watanzania hatukijui ndicho kimewakera na kuwakatisha tamaa hivi ya Kutusaidia tofauti na nchi zingine kadhaa za Afrika kama za Rwanda, Uganda, Ethiopia, Ghana ambazo zinapewa kila wakati?

Tumewakosea nini WB na IMF?

Nawasilisha.
Waliozoea vya kupewa matatizo sana, changamoto huzaa mwendo, wasitupe tukilala njaa tutazslisha chakula, mambo ya mikopo yanalemaza, na pale unapokuwa huna uwezo wa kulipa ujiandae kuozwa. Hiyo biashara haitufai tujitegemee tunaweza.
 
Maneno huumba na ulimi ulimponza kichwa! Wenzetu ni mafundi wa kutunza kumbukumbu ya aina yoyote kwa matumizi ya baadaye!
Kauli za kibabe hujibiwa kwa dharau na dharau hiyo ndiyo inayotuchapa Sasa!
Na likawe funzo kwa mtakaobahatika kubaki Hadi October mchague wanadiplomasia wazuri watakaoliunganisha taifa na mataifa mengine!
Hakukuwa na sababu za kujinasibu kuwa dona kantri ilihali huna hata uwezo wa kutengeneza tooth pick! Tulikosea tukatubu kwao!
 
Mpaka leo najiuliza hili Swali ni kwanini Taasisi Kubwa na Muhimu kabisa za Masuala ya Fedha Duniani (Ulimwenguni) za WB (Benki ya Dunia) na IMF (Shirika la Fedha Duniani) kwa Siku za karibuni na niweke tu wazi tokea 2016 hadi huu wa 2020 wamekuwa ' Wazito ' mno Kuisaidia Tanzania kwa Pesa (Fedha) tofauti na ilivyokuwa huko nyuma?

Je, ni Siasa za Tanzania labda ndizo ' zimewakwaza ' hivi au labda yawezekana kukawa na ' Kirusi ' kisicho na Jina ambacho kipo Tanzania na labda hata Sisi Watanzania hatukijui ndicho kimewakera na kuwakatisha tamaa hivi ya Kutusaidia tofauti na nchi zingine kadhaa za Afrika kama za Rwanda, Uganda, Ethiopia, Ghana ambazo zinapewa kila wakati?

Tumewakosea nini WB na IMF?

Nawasilisha.
Kiongozi mtarajiwa wa malaika ndo shida na uroho wake wa madaraka
 
Mkuu WB wameshaidhinisha USD 500 million mkuu juzi tu au umesahau tena zile Zitto na Wanaharakati walishindwa kuzizuia pamoja na kufunga safari kwenda US!
Mkuu zimeshatoka au sinasubiria tutimize masharti kwanza
 
Siku hizi tuna Benki ya Afrika mkuu! Hatubembelezi sana ndiyo maana juzi mwametupa USD 500m za Elimu pia kumbuka mradi wa barabara za mijini zinatengenezwa kwa pesa za WB inaonekana you are not informed mkuu!
World Bank tena,mie nilidhani zinajengwa na pesa za ndani zinazotokana na uchapakazi wa Magufuli ulioongeza makusanyo ya Kodi,kumbe ni kitwete products?
 
Waliozoea vya kupewa matatizo sana, changamoto huzaa mwendo, wasitupe tukilala njaa tutazslisha chakula, mambo ya mikopo yanalemaza, na pale unapokuwa huna uwezo wa kulipa ujiandae kuozwa. Hiyo biashara haitufai tujitegemee tunaweza.
Huwezi kuanza kujitegemea kuwa kusema tu kunako kuwa driven na mihemko ya mtu,bali you need to have a strategy on how utafika kwenye kujitegemea
 
Ukweli ni kwamba hatuna mahusiano mazuri na hiz multilateral financial insts kwa sababu ya upuuzzi wetu wa kutozingatia baadhi ya mikataba ya kimataifa ya haki za binadam pamoja kujitutumua kulikopitiliza

Tatizo hawajui kwangu tupo kwenye ulimwengu wa utandawaz hata ukiwatukana mabeberu kisukuma wanajua,mijitu haioni shida kuandaa mswada kwa ajili ya kumkomoa aidha tundu lisu au zitto bila kujali athari na maslahi mapana ya kitaifa.

Lakini kubwa zaidi ni kuwa na maviongozi mabinafs zaidi ya shetani,yaani mtu yupo tayari kuonesha ujeuri na misimamo ya kipuuzi huku maelf ya watu wakiangamia.

Mathalani tulikua tunapewa ruzuku ya chanjo na US kwa watoto kwa sabab serikali na wananchi wake hawana uwezo wa kumudu, ruzuku hii inamasharti ya kuhamasisha uzaz wa mpango

Bwana mkubwa bila kujielewa na kutafuta sifa za kipuuzi akasema hakuna uzaz wa mpango fyatueni serikali ya awamu ya tano ina hela,kutokana na maamuzi ya kipuzi huko mbeleni tutarajie high mortality death rates kwa sababu chanjo hii ni gharama around 80k,wananchi wa kawaida hawawez kumudu.
 
Back
Top Bottom