Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Kwa hiyo akili yako unafikiri kila serikali inaendesha mambo yake? Lazima kuwe continuation ya projects
What's your point? Hoja hapa ni kuwa WB wametoa mkopo, kwa nini msiseme approval iliyopo ni ya kuruhusu disbursements za fedha kwa mkopo uliokubaliwa wakati wa serikali iliyopita? Kwa nini itangazwe kuwa WB wanatoa mkopo mpya wakati inajulikana kuwa si mkopo mpya?