Uko sahihi ila ni kwanini hizo Hela wanazotupa huwa wanazitoa kwa ' Mbinde ' sana wengine Kwanza twende Vijijini Kwetu tukatambike kwa Mabibi, Mababu na tukeshe Ziwani tukitizama Samaki au Mbugani tukipiga Mbizi katika Mawe makubwa makubwa?
Huko nyuma WB na IMF walikuwa wakiipenda sana Tanzania yetu ila kwa sasa Uhusiano wetu nao umekuwa ni wa ' Kimazabe ' mno. au Wewe hulioni hili? Hebu lifuatilie kwa umakini wako tafadhali.