Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Nimeendesha bulldozer speed kali sana 15kph
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Sio poa mkuu, ila kuna Altezza moja ilikuwa inasumbua sana hapo zimekalishwa hadi Subaru WRX STi.Speed 220 - BMW 5 Series, Njia ya Arusha to Namanga.
Ilikuwa mashindano ya magari na wapumbavu wa Alteza wakiamini ile movie ya Transporter BMW ilikuzwa.
Yenye engine gani mkuu? Ila hizi za 1G kavu na 1G-FE ndio bei rahisi zaidi. Na iliyosimama kabisa ambayo ina body kali ni milion 3 hadi 3 na kitu, ila zipo hadi za kuanzia milion 1 na kitu.Aiseee jamaa Kama Ni mpenda mambio atalitunza kishenzi.Mkononi kwa mtu kwa Sasa kwa gharama za kukadiria naweza nikamvua mtu kwa sh. Ngapi?
NB:Mimi siangaliagi mambo ya Namba.
Kuna mdada anayo hyo Caldina ya 3S-GTE asee ni kali balaa, ila kuuza aligoma anataka nimpelekee Nissan XTRAIL afu ndio anipe hyo.Fresh mzee...kati ya engine za toyota alizotulia na kuzitengeneza vizuri ni
1. 2JZGTE -320 HP
2. 1JZ GTE-280 HP
3.3S-GTE - 260HP (Hapa itabidi ninunue Caldina yenye 3SGTE..fully body kit na BOV...[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sio ile iliofungwa 1JZGTE kweliDaaah! sio poa mkuu, ila kuna Altezza moja ilikuwa inasumbua sana hapo zimekalishwa hadi Subaru WRX STi.
Xtrail zile old model? 2002-2007 au zile wanaita new model za kuanzia 2008?Kuna mdada anayo hyo Caldina ya 3S-GTE asee ni kali balaa, ila kuuza aligoma anataka nimpelekee Nissan XTRAIL afu ndio anipe hyo.
Namaanisha 1JZ-GTE.Maana Ni nadra sana kukutana nazo mtaani.Yenye engine gani mkuu? Ila hizi za 1G kavu na 1G-FE ndio bei rahisi zaidi. Na iliyosimama kabisa ambayo ina body kali ni milion 3 hadi 3 na kitu, ila zipo hadi za kuanzia milion 1 na kitu.
Duh caldina tatizo shape yake,duh.Fresh mzee...kati ya engine za toyota alizotulia na kuzitengeneza vizuri ni
1. 2JZGTE -320 HP
2. 1JZ GTE-280 HP
3.3S-GTE - 260HP (Hapa itabidi ninunue Caldina yenye 3SGTE..fully body kit na BOV...😂😂😂
Chuma kama hicho unawaza kuhusu shape mkuu...Duh caldina tatizo shape yake,duh.
Looooo na zile tuta ilikuaje mkuu?maana tuta ndani ya mikumi national park ni uchafu mkubwa, na zile zinazokaribia kitonga pass nazo pia ni uchafuMleta mada mimi naomba niulize kitu..hio GX100 uliifanyia modification na kuweka hio turbo? Maana JZX100 ndo ina 1JZGTE...nirudi kwenye point mimi speed kubwa ni 170KPH Altezza 3SGE sehemu mbili moja ukiwa unaitafuta kitonga baada ya kuimaliza iringa sehemu ya pili ni mikumi mbugani hii siku niliiacha Range Rover..ya 2014..na sehemu ingine ukishamaliza mikumi kutafuta vijiji vya mangae/mangai😀😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ilikuwa ni kuonyeshana ubabe tu.LC 200 GXR
Niligonga 200KPH lakini kuna muda niligusa hadi 240KPH ambayo ndiyo mwisho wa kisahani
Ilikuwa Mafinga to Makambako tulikuwa tunatoka Dar kuenda Mbeya na tulikuwa tunapokezana kuendesha