Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Aiseee jamaa Kama Ni mpenda mambio atalitunza kishenzi.Mkononi kwa mtu kwa Sasa kwa gharama za kukadiria naweza nikamvua mtu kwa sh. Ngapi?

NB:Mimi siangaliagi mambo ya Namba.
Yenye engine gani mkuu? Ila hizi za 1G kavu na 1G-FE ndio bei rahisi zaidi. Na iliyosimama kabisa ambayo ina body kali ni milion 3 hadi 3 na kitu, ila zipo hadi za kuanzia milion 1 na kitu.
 
Fresh mzee...kati ya engine za toyota alizotulia na kuzitengeneza vizuri ni
1. 2JZGTE -320 HP
2. 1JZ GTE-280 HP
3.3S-GTE - 260HP (Hapa itabidi ninunue Caldina yenye 3SGTE..fully body kit na BOV...[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mdada anayo hyo Caldina ya 3S-GTE asee ni kali balaa, ila kuuza aligoma anataka nimpelekee Nissan XTRAIL afu ndio anipe hyo.
 
LC 200 GXR

Mwaka jana nilitoboa 200KPH, ila kuna muda niligusa hadi 240KPH ambayo ndio mwisho wa kisahani, sirudii asee

Ilikuwa Mafinga to Makambako, tulikuwa tunatoka Dar kuenda Mbeya, na tulikuwa tunapokezana kuendesha na mzee
 
Duh caldina tatizo shape yake,duh.
Chuma kama hicho unawaza kuhusu shape mkuu...
c5969e8c0d457fe24052c836a30a559c.jpg
720d164e8874b1741c56ad06e50114c9.jpg
befa14985fa6cbb2e69533ca3e52f9d3.jpg
 
Mleta mada mimi naomba niulize kitu..hio GX100 uliifanyia modification na kuweka hio turbo? Maana JZX100 ndo ina 1JZGTE...nirudi kwenye point mimi speed kubwa ni 170KPH Altezza 3SGE sehemu mbili moja ukiwa unaitafuta kitonga baada ya kuimaliza iringa sehemu ya pili ni mikumi mbugani hii siku niliiacha Range Rover..ya 2014..na sehemu ingine ukishamaliza mikumi kutafuta vijiji vya mangae/mangai😀😀😀
Looooo na zile tuta ilikuaje mkuu?maana tuta ndani ya mikumi national park ni uchafu mkubwa, na zile zinazokaribia kitonga pass nazo pia ni uchafu
 
Back
Top Bottom