Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaziita baby walkerIla hata IST zina balance nzuri tu.
Sasa jomba hio si Ni body kits tu zimejazwa hapo?Chuma kama hicho unawaza kuhusu shape mkuu...
Kwa 170km/h uliiacha range rover either kwa sababu dereva alikuwa muoga au hakutaka ligi na wewe.Mleta mada mimi naomba niulize kitu..hio GX100 uliifanyia modification na kuweka hio turbo? Maana JZX100 ndo ina 1JZGTE...nirudi kwenye point mimi speed kubwa ni 170KPH Altezza 3SGE sehemu mbili moja ukiwa unaitafuta kitonga baada ya kuimaliza iringa sehemu ya pili ni mikumi mbugani hii siku niliiacha Range Rover..ya 2014..na sehemu ingine ukishamaliza mikumi kutafuta vijiji vya mangae/mangai[emoji3][emoji3][emoji3]
Naomba kujua kuhusu Hii engine ya 2JZ - GTE maana watu wengi wameisifia Sana kuanzia ulaya mpaka huku bongo,kuna jamaa yangu pale kariakoo anamiliki Toyota aristo 300 hii gari imekuja na hiyo engine ni balaa hiyo gari ni hatari Sana kwenye mbio.Fresh mzee...kati ya engine za toyota alizotulia na kuzitengeneza vizuri ni
1. 2JZGTE -320 HP
2. 1JZ GTE-280 HP
3.3S-GTE - 260HP (Hapa itabidi ninunue Caldina yenye 3SGTE..fully body kit na BOV...😂😂😂
Range Rover haina mbio mkuu kwa kifupi gari yoyote yenye ilionyanyuka juu hua ina pea pea..hio Range nilitoka nayo Comfort mpaka Iyovi ikanipita kwenye mlima...Kwa 170km/h uliiacha range rover either kwa sababu dereva alikuwa muoga au hakutaka ligi na wewe.
Huwa natamani sana niishie 120kph lakini nashindwa. Nikifikiria ninapoenda na gari inachoweza najikuta nasema 'https://jamii.app/JFUserGuide it lets go'Mimi mwisho ilikuwa 150kph. Na kiukweli natamani nisirudie tena. Walau niwe naishia 100-120kph hivi!
Maana mwendokasi ni moja ya chanzo cha ajali.
Naaam body kits...sawia..au una tatizo na Wagons?Sasa jomba hio si Ni body kits tu zimejazwa hapo?
1JZ-GE 200hp yenye v6 iskose mkuuFresh mzee...kati ya engine za toyota alizotulia na kuzitengeneza vizuri ni
1. 2JZGTE -320 HP
2. 1JZ GTE-280 HP
3.3S-GTE - 260HP (Hapa itabidi ninunue Caldina yenye 3SGTE..fully body kit na BOV...[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu uzoefu nao una mata, bongo hii sijawahi kuzidi 150kph. So 220 kph was too much na siku-last kwa muda mrefu just for few minutes nikarudi zangu 130kphUmetuangusha mkuu, huku si full kujiachia hadi umalize kabisa.
Mimi Gari ikishapigwa ma-body kits tu huwa naiona Kama toy hivi. Anyway, enjoy boss.Naaam body kits...sawia..au unatatizo na Wagons?
Halafu kwa hizi barabara zetu Hadi kufikia hizo speed ni sehemu chache Sana, sometimes huwa tunajaribu Tu kuona gari ina uwezo gani.Huwa natamani sana niishie 120kph lakini nashindwa. Nikifikiria ninapoenda na gari inachoweza najikuta nasema 'JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala it lets go'
Kuna aristo moja huko Arusha aisee iliikalisha 2GR GRS204 ilikua balaaa aiseee...fully moded twin turbo...😂😂😂Naomba kujua kuhusu Hii engine ya 2JZ - GTE maana watu wengi wameisifia Sana kuanzia ulaya mpaka huku bongo,kuna jamaa yangu pale kariakoo anamiliki Toyota aristo 300 hii gari imekuja na hiyo engine ni balaa hiyo gari ni hatari Sana kwenye mbio.
Alafu Ile aristo imefanyiwa tunning
Speed gani? 180? Hii ukiwa na Crown/Mark X sekunde 30-40 umefuta. Kikubwa nguvu ya gari tu sehemu zipo nyingiAlafu kwa hizi barabara zetu Hadi kufikia hizo speed ni sehemu chache Sana, sometimes huwa tunajaribu Tu kuona gari ina uwezo gani
Upo sahihi....Kwa hizi gari zetu zenye uwezo mdogo ni ngumu Sana kupata hiyo speedSpeed gani? 180? Hii ukiwa na Crown/Mark X sekunde 30-40 umefuta. Kikubwa nguvu ya gari tu sehemu zipo nyingi
Hayo magari ya mjerumani ni sayari nyingine kwenye performance170km/h Mjerila anakupita kama umesimama.
Hiyo 170, unaongeza 180 umefuta kisahani, ukicheki kwenye side mirror unaona kuna mashine ya mjerila ina overtake.
Kumbe wavuta bangi sio majitu mazimaHivi ukiendesha kwa "spidi kali sana" unapata faida gani?
Mimi nilijua wavuta bangi ndiyo hufanya hivyo, kumbe mpaka majitu mazima?