Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1JZ-GE Ni i6(straight),sio V6 boss.1JZ-GE 200hp yenye v6 iskose mkuu
Caldina bila body kits iko smart sana mbona. Iwe na rims kali tu its a masterpiece. Nilikuwa na option ya kuchukua hio au Opa sema nilipozikagua zote niliangukia kwenye Opa sababu ilikuwa in clean condition zaidi ya Caldina.Duh caldina tatizo shape yake,duh.
Hii gari uwe nayo makini sana, maaana unakwenda speed kubwa halafu hata huoni speed kubwa.bmw x5 ya 2019 ina turbo kwanza ni ya mshikaji wangu, nilifika 190 utadhani gari haikanyagi chini na barabara ikawa nyembamba nikatuliza bangi zangu nisije tolewa figo maiti yangu kufidia gari ya watu,
kwa pikippiki ni ile honda x blade 160 speed nilifika 100 tu pikipiki zinatisha sana speed kubwa .
sema speed kubwa tamu sana ila hatuna sehemu nzuri sana za kutembea nazo tukazifurahia ila ni hatari mno roho mkononi muda wote
ngekaza kamba hadi 18OkphMaximum speed niliwahi kutembea nayo ni 170 km/h na rumion hakika hii gari inatulia Sana ikiwa road..
kwakifupi napenda Sana kutunisha misuli nikiwa kwenye long cruise
Huku mwalimu wa driving school ya Mlimani driving school ukiwa umekaa pembeni unatucheki tu.Uzi wa mafundi garage na madereva wa STK
yeah nikweli aisee zimetengenezwa inakujengea kujiamini sana na unajiona uko salama zaidi,Hii gari uwe nayo makini sana, maaana unakwenda speed kubwa halafu hata huoni speed kubwa.
180 KPH. BMW X5. I-95.
sanaKweli mkuu, pikipiki ni hatar zaidi.
Hio Aristo bila shaka ya Jason Frisby 😂😂😂 ana 1JZ-GTE Chaser Modelista nayo ni hatari, ana Mark X ya 2011 ya 3500cc 2GR ni msalaKuna aristo moja huko Arusha aisee iliikalisha 2GR GRS204 ilikua balaaa aiseee...fully moded twin turbo...😂😂😂
😄😄 Ndio mkuu na ni Tz hii hii.Muhuni anatembea hadi 300 kph?
Jaribu na amarok Volkswagen aah ni tamuu!Ulijitungua mkuu, ila chuma kikiwa sawa sawa sionagi noma kumwaga moto.[emoji91]
Ni inline six hamna 1JZ ya V block1JZ-GE 200hp yenye v6 iskose mkuu
Duh ndio Mambo ya kipendacho roho hayo mkuu.Caldina bila body kits iko smart sana mbona. Iwe na rims kali tu its a masterpiece. Nilikuwa na option ya kuchukua hio au Opa sema nilipozikagua zote niliangukia kwenye Opa sababu ilikuwa in clean condition zaidi ya Caldina.
Jamaa ana shift gears kama umeme, watu wanahisi mguu wake na clutch vimeunganaga 😂😂😂Muhuni anatembea hadi 300 kph?
Eeh mzee babaDuh ndio Mambo ya kipendacho roho hayo mkuu.