Sifa moja ya waafirca ni kujisifia vitu vya kipumbavu wanavyovifanya,dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?"
hofu yako sio hofu ya wengine. Unacho hofia wewe sio lazima na mwingine ahofieSifa moja ya waafirca ni kujisifia vitu vya kipumbavu wanavyovifanya,
Maisha yako hayana Mbadala, ndio maana wenzetu waliotuzidi maarifa huwezi kukuta anacheza na uhai wake aghalabu kujisifia ujinga kama wewe!!
sure yaani mtu kabisa anajisifia kukimbiza gari spee 195kph aisee tunao ujinga mwingi sana!!!Hivi ukiendesha kwa "spidi kali sana" unapata faida gani?
Mimi nilijua wavuta bangi ndiyo hufanya hivyo, kumbe mpaka majitu mazima?
Yeye hata kama ameendesha 500Kph alete tu experience yake hapa ilikuwa wapi na ilikuwa ndinga gani.Duh uzuri wa JF kila mtu ameshaendesha Gari mitaa ya Autobahn pale,kiasi Kwamba mtu akisema aliendesha Kati ya 180-190kph mnaona Ni kawaida Saana.
Salimia hapo YouTube mkuu.
Ni kweli kabisa, ndio maana ajali zote na racing zote zinafanyika Africa tu.Sifa moja ya waafirca ni kujisifia vitu vya kipumbavu wanavyovifanya,
Maisha yako hayana Mbadala, ndio maana wenzetu waliotuzidi maarifa huwezi kukuta anacheza na uhai wake aghalabu kujisifia ujinga kama wewe!!
ipo siku nilipanda IT kwenda niliposhuka Makambako nilikuwa nimelowa jasho maana jamaa alikuwa anakanyaga 180 kwenda 200, kila mara nilikuwa namwambia speed kali punguza lkn anaenda kidogo anajisahau....Juzi kati nimepanda IT usiku nikasinzia gafla usingizini nahisi kama ninapaa nastuka kuangalia dashboard mshale siuoni kutazama kwa umakini naona umelalia upande wa kulia tunatembea katikati ya barabara nikahisi uyu mcongo anataka kutuua sikulala tena mpk kunakucha
[emoji23][emoji23][emoji23]Juzi kati nimepanda IT usiku nikasinzia gafla usingizini nahisi kama ninapaa nastuka kuangalia dashboard mshale siuoni kutazama kwa umakini naona umelalia upande wa kulia tunatembea katikati ya barabara nikahisi uyu mcongo anataka kutuua sikulala tena mpk kunakucha
Sikupingi lakini hapo kwenye kulinganisha sio,maana huo unaouita upumbavu hata hao 'wenzetu waliotuzidi maarifa' wanaufanya sana kutuzidi sisi,na usikute wao ndo walianza.Maana wana nyenzo zote za kufanyia 'upumbavu'.Vyombo vyenye nguvu,imara na barabara safi.Sifa moja ya waafirca ni kujisifia vitu vya kipumbavu wanavyovifanya,
Maisha yako hayana Mbadala, ndio maana wenzetu waliotuzidi maarifa huwezi kukuta anacheza na uhai wake aghalabu kujisifia ujinga kama wewe!!
Tena akumbuke Autobhan ipo Ulaya na sio Africa.Sikupingi lakini hapo kwenye kulinganisha sio,maana huo unaouita upumbavu hata hao 'wenzetu waliotuzidi maarifa' wanaufanya sana kutuzidi sisi,na usikute wao ndo walianza.Maana wana nyenzo zote za kufanyia 'upumbavu'.Vyombo vyenye nguvu,imara na barabara safi.
Watu kama wewe mnapaswa kufanyiwa hivi.πππipo siku nilipanda IT kwenda niliposhuka Makambako nilikuwa nimelowa jasho maana jamaa alikuwa anakanyaga 180 kwenda 200, kila mara nilikuwa namwambia speed kali punguza lkn anaenda kidogo anajisahau....
Na hii piaTena akumbuke Autobhan ipo Ulaya na sio Africa.
Duuh! Haya sasa yeye anakazania waAfrica tu.Na hii piaView attachment 2298515
mtu anahofu yeye anataka anataka na wengine muifate hofu yake πππ wengine popote kwenye ka uwazi tunatamani kufuta sahaniWapo wengi wa hivo asikuchoshe mkuu..... yeye aende kwenye majukwaa ya mapambio yanamfaa.
Inferiority tu mkuu...na hii tunayo waafrica wengi.Kuona wale ni bora kuliko sisi.Duuh! Haya sasa yeye anakazania waAfrica tu.