NakubaliThen hujaelewa concept yangu.
Naongelea overall impact ya torque na hasa katika extreme cases.
Diesel engines produce extreme torque na petrol engines produce extreme hp.
Valio machine 200 speed ukipanda toa hosia kabisa kwenuKwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Gari ndogo itakupita na kukupoteza usiione tena!!Ila gari ndogo hua zina changanya haraka kuliko kubwa ila sio kama zinakimbia sana! Ukiikuta hiyo 360hp ina mbao zake mgongoni usiku utafunga macho
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya!Gari ndogo itakupita na kukupoteza usiione tena!!
Hiyo ni truck gani mkuu unayoipambanisha na magari madogo ukiwa umejiamini kiasi hiki?Ha! Hujawai kukutana na gari kubwa ina tembea! Bahati nimeyaendesha! Chuma zinatembea inafika mahala mwili wote unakua ganzi na baridi huku ukisikilizia nini kinatokea dashboard ni makelele! Hiki kipande cha dar_moro tunafutaga visaani hiyo milima hapo kati chuma hua zinapanda zenyewe bila kukanyaga accelerato na una 30tonnes mgongoni! Nenda songea kipande cha kutoka songea kwenda mbinga na kutoka songea kuitafuta njombe to makambako na hiyo gari ndogo ukafanye ligi na trucks! Utakapo ipita hiyo gari ni kwenye kupanda na si tambarare au anashuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeamua kuzidi 140, asingeona hata ulipopotelea!!!Ni kweli kuna chuma iliwahi nipita bahi kuitafuta dom saa mbili usiku nikiwa 140 sikuamini semi zinatembea usiku
[emoji2959][emoji1787][emoji1787] huyo mwenzio yupo na 140 kutoka bahi kaikuta chuma dodoma! Hata kama ni usiku kipande hicho kina matuta na road blocks na hajaikuta! Labda alisimama kukojoa! Mjadala huu nimeufungaUngeamua kuzidi 140, asingeona hata ulipopotelea!!!
Wapi kasema aliikuta hiyo truck dom? Jamaa kasema ilimpita akiwa 140 kilichoendelea mimi na wewe hatujui!!![emoji2959][emoji1787][emoji1787] huyo mwenzio yupo na 140 kutoka bahi kaikuta chuma dodoma! Hata kama ni usiku kipande hicho kina matuta na road blocks na hajaikuta! Labda alisimama kukojoa! Mjadala huu nimeufunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi kasema aliikuta hiyo truck dom? Jamaa kasema ilimpita akiwa 140 kilichoendelea mimi na wewe hatujui!!!
At least ungetaja trucks zenye injini kubwa ambazo ni za kuhesabu siyo hizo zenye 360hp..
Na utawasikia nimepitwa na gari fulani kama nimesimama ukimuuliza wewe ulikuwa na speed gani anakwambia 80[emoji23]Kuna watu 80km hawatoboi unakuta chombo haitulii kabisa road utasema anaendesha ngalawa
Mjep kaka angu uzi unakufaa huuKwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samuye kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Kiboko ya akina yutong na wenzakeKali sana zile chuma ila ikichochora hatoki mtu kama ndege imeanguka
Hizo popoma ndio hua zinatusababishiaga 4len na ukitaka ku over_take anaongeza mwendo wanakera hatari na mara nyingi wana7babisha ajaliNa utawasikia nimepitwa na gari fulani kama nimesimama ukimuuliza wewe ulikuwa na speed gani anakwambia 80[emoji23]
Hamna basi inafuata zile coaster haswa ikiwa na driver experiencedKiboko ya akina yutong na wenzake
Iwe na mbao halafu ikimbie hii sayansi ya wapi ndugu!Ila gari ndogo hua zina changanya haraka kuliko kubwa ila sio kama zinakimbia sana! Ukiikuta hiyo 360hp ina mbao zake mgongoni usiku utafunga macho
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nielewa! Nimeongelea hivi! "Ukute inamzigo wa mbao anawahi zake dar" hapo umeelewa sasaIwe na mbao halafu ikimbie hii sayansi ya wapi ndugu!
Gari ndogo zipo nyingi mkuu mfano hilux yenye injini ya 5L hata 140 kufika mtihani ila ist,raum,ractis....labda uwe mwoga.Hiyo ni truck gani mkuu unayoipambanisha na magari madogo ukiwa umejiamini kiasi hiki?
Kuna kitu nimegundua: kuna watu unakuta tangu ameingia kwenye ulimwengu wa magari ni gari moja au mbili ndizo alizo wahi endesha pia wengi ni trip town akienda mbaali sana bagamoyo au kibaha! Hivyo kuna mambo ni ngumu sana kuelewa na bahati mbaya badala ya kuelewa anaishia kwenye alivyo kariri!Gari ndogo zipo nyingi mkuu mfano hilux yenye injini ya 5L hata 140 kufika mtihani ila ist,raum,ractis....labda uwe mwoga.
Mkuu kwenye hiyo daf yako hata wakikuongeza gear zingine 4 jumla uwe na gear 20 bado mwenye gari ndogo inayoweza kufika 180 bila shida atakupoteza tu!!Post yake no.518 irudie kuisoma na hiyo 360hp ni gari za kizamani japo kuna 371 mchina gari nyingi ndogo haziifuati ukiikuta kwenye ubora wake amini usi amini hiyo nanyanyuka na 3 inafuata 5 inayofuata ni 7 zinazobaki nazifuata mpaka 12 na RPM situmii 10, 11 wala 12 kufuata ratio, nabadilishia gear kwenye RPM 15 na 16 na natembeza na 16_17 na ukute ina inatumia gesi kama zile za dangote utaipisha tu hata uwe na 160km/h
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hujakutana na volvo 480 bila kusahau hizi pamba nyepesi scania zipo za kila aina, hujakutana na DAF gear 16_ hii gari kuifuata ni mpaka uwe na sport car yenye sport gear ( gear 6 ) tofauti na hapo ukiiona iache iende!
Sawa mkuu! Hata kama 5l ni heavy kufika 140, kwa uzoefu wako 5l akipangwa na hizo za mbao kutokea iringa to dar nani ataingia wa kwanza?Gari ndogo zipo nyingi mkuu mfano hilux yenye injini ya 5L hata 140 kufika mtihani ila ist,raum,ractis....labda uwe mwoga.